Recent content by Saimon Philip

  1. S

    JamiiForums Tanzania Nimegundua haya

    Elezea zaidi hii mkuu
  2. S

    JamiiForums Tanzania Bado natafuta mantiki ya kujenga hili Daraja la Kigongo - Busisi kwa Tshs. Bilioni 700

    G Sam, Mkuu ulitaka lijengwe lini hilo daraja? Au huoni umuhimu wa daraja pale?
  3. S

    JamiiForums Tanzania Je, tumeamua kuifanya Tanzania kuwa ‘a pariah state’?

    Ni mawazo yako lakini jifunze kuwa positive esp kwa nchi yako.Nchi kwanza mengine baadae.
  4. S

    JamiiForums Tanzania Arusha & Kilimanjaro: Utajiri, Mapenzi na vifo vya kutisha. Kwanini matajiri hawadumu?

    Mimi napingana na mtoa mada. Sio tu matajiri wa kichaga inapofika siku yao wanakufa hata wewe mwenyewe ikifika siku yako utakufa. Wachaga wanajulikana kwa utafutaji wao wa hela na kupenda hela lakini hiyo haiwafanyi kila mwenye utajiri basi anamambo ya kishirikina hapana.kikubwa Ni kujituma...
  5. S

    JamiiForums Tanzania Mke wangu kaniambia nina kibamia pia uume wangu hausimami vizuri naomba msaada

    Mwanaume yoyote anategemea akili ikae sawa (asiwe na stress) ili kuperform sex vizuri. Ila sikuzote Kama mwanamke ameshaanza kukuongezea stress mfano hamuelewani +unajua anakucheat huwezi ukawa na hamu ya kufanya nae sex.hata ukilazimisha ndo matokeo yake uume hawezi kusimami vizuri na ndo maana...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli mtumbue Bosi wa TTCL anaihujumu kampuni

    Binafsi nampongeza Sana Kindamba ameleta mageuzi makubwa Sana TTCL,kutoka kuzalisha hasara kwa miaka 18 iliyopita mpaka kutengeneza faida na kutowa gawio kwa serikali.sikatai kwamba ttcl Wana changamoto zao especially za kiubunifu mfano kwenye bando zao bado wamebase kwenye watumiaaji wadogo wa...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Joker Film: Kudharauliwa na kuambiwa maneno mabaya kunavyoweza kumfanya mtu awe muuaji

    Asante mkuu nimejifunza sana
  8. S

    JamiiForums Tanzania The SPY: Series inayoonesha Jinsi Jasusi la Mossad "Eli Cohen" Lilivyowachachafa wa Syria miaka ya 60.

    Yes na Mimi niliona siku ya kwanza ilivyotoka kwenye Netflix
  9. S

    JamiiForums Tanzania Serikali ya wanyonge

    Hii picha ya mwaka gani????
  10. S

    JamiiForums Tanzania Mliowahi ku-date/kuoa/kuolewa na wazungu let's share changamoto mlizokutana nazo. Au ni kama wabongo tu?

    Acha matusi ndugu yangu Sent using Jamii Forums mobile app
  11. S

    JamiiForums Tanzania Ninahitaji harrier second generation nibadilishane na rava 4 kili time

    Nafikiria hiyo ilikuwa njia ya haraka zaidi ila isipofaa nita uza mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. S

    JamiiForums Tanzania Nahitaji harrier kubadilishana na rava 4 kili time

    Haina matatizo mkuu tokea nimeiagiza haina zaidi ya miezi mitatu Sent using Jamii Forums mobile app
  13. S

    JamiiForums Tanzania Nahitaji harrier kubadilishana na rava 4 kili time

    Yoyote kati ya lexus au harrier za mwaka kuanzia 2003-2009 Sent using Jamii Forums mobile app
  14. S

    JamiiForums Tanzania Nahitaji harrier kubadilishana na rava 4 kili time

    Ndo maana nikasema anayehitaji no yangu iko juu kwa maelewano zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
  15. S

    JamiiForums Tanzania Nahitaji harrier kubadilishana na rava 4 kili time

    W
Back
Top Bottom