hata mm ilifungiwa mwezi uliopita, lakn nikawatumia email hawa jamaa wa WhatsApp na nikaweka namba yangu ya simu, na nikaomba samahi kama kuna jambo lolote la kuvunja shart nimelifanya, na kweli wamenisamehe , hakikufika saa lisaa moja waliweza kuifungua.
na kama kuna mtu whatsApp yake...
Mm wala sikushauri kunenepa.
Hata kama ulitoka kwenye ugonjwa.
Nitahidi kula matunda kwa wingi mboga za majani.
Mwili utakuja wenyewe huo.
Hata mm wakati nilipokua nasoma nilikua mwembamba sana kiasi ya kuwa najiskia hata vibaya kukaa na watu, mda wote wananiita mbu.
Lakn baada ya kumaliza...
Hio ndio wala usiwe na wasi.
Kwa maana hata mm wife alipitisha siku karib 10 lakn tulipopima hana.
Halaf hana dalili yoyote ile ya kuwa na mimba so subiria huo mwezi kuisha halaf pima utaona kitu kimeganda
Dah hata mm leo ya 6 naumwa na kama ww mate kumezeka tabu sana,
Halaf mm nimevimba hsa shing na kooni nimefanya mikwaruzo na vipele pele.
Sisi sote wawili ni wagonjwa
Habar zenu jaman naomba mnisaidie mwenzenu napata shida sana hasa pale nnapo tumia chakula mfano nyama ya ng'ombe au ya kuku nakua navimba shingo kupinda kwa tabu, mda mwengine nahic kama kuna misuli inalia lia saut flan hiv ndani ya shingo,
Nilikwend spital doct kasema ni allergy, lakushangaza...
Sawa lakin mm tatizo lang n hili,
Nimefanya kama mshipa mwembamba mfano kama waya mgumu lakn mwembamba sana. Kwenye uume wangu upande wa kulia,
Halafu umenyooka hadi karibu na kichwa, pia upande huo huo nimefanya uvimbe mdoogo hivi, tatizo ni nn?
Nashkur sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.