Kila atakachokifanya mkeo kwako ni kwa mapenzi yake tuu. Ila si lazima kila kitu utawajibika wewe mwanaume ulie muoa. Na nikwakuwa mkeo c mjakazi wako ispokuwa ni kwa kazi moja tuu uliemuolea. Basi zingine zote afanye kwa kupenda mpka kufua na kupika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani akili haziko sawa mpka sasa mkuu..! Daaah mchepuko cyo dili bado hamuelewi haya sasa ungepoteza maisha uiache familia kwenye wakati mgumu kwa tamaa zako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Duuuuh mkuu pole sana na huo mkasa. Umenikumbusha kitambo kidogo kuhusu Igongwe. Ila ilishavunjwa siku hizi naona nikipita pako kimya sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli wa jambo hili huwa lina maana kuu mbili kama cjakosea. Kwanza muhitaji anapokutongoza huwa amehisi au kukuwaza kadri alivyokuona kuwa huenda ukawa mke mwema lakini kadri mnavyoingia kwenye mahusiano ndivyo mnasomana tabia nakujuana zaidi hivyo kupelekea kugundua kuwa huyu kumbe hayupo...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nitachangia ngoja nicheke kwanza. Miss unamajibu hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
Innalilah wainaillaih rajiuon. Hakika sisi sote kwake tutarejea. Ila kifo hakizoeleki pole sana dada angu Mungu akupe nguvu na hekima uweze kustahimili kipindi hiki kigumu kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.