Recent content by Saidss2

  1. S

    Hii Button (Kitufe) kwenye hii gari hakuna anayejua kazi yake nini na wote wanaogopa ibonyeza

    Hiyo ni voice command mkuu [emoji1787] bonyeza tuu ila tatizo huwa zinaongea kijapan kwhy jipange pia kwenye lugha [emoji1787][emoji1787]
  2. S

    CVT gear box problem

    Yani ndio maana tunashauriwa vitu vidogo km hv sijui kubadilisha oil sijui vitu vidogo vidogo uwe unajua mwenyewe kuvifanya kwhy unaenda kununua kitu sahihi kulingana na gari yako unabadilisha mwenyewe kukiko kumpa fundi bila wewe kuwepo yeye anafanya fanya bila idea yoyote mwisho anakuharibia...
  3. S

    Polisi hawaruhusiwi kuchukua kesi za kudaiana hela

    Hapo naona Umebase zaid kwa mdaiwa Sasa swali langu vp Anaedai Atapata Vp haki yake??Au ndio Mambo ya kushikana mashati na kuchukua mali ya unaemdai kama fidia...Ukibase sana upande wa mdaiwa Inakuwa kama unachochea wizi na utapeli wa kuaminika Jaribu Kuongelea pande zote 2
  4. S

    Misafara ya viongozi inachosha, inatesa na kurudisha nyuma maendeleo, IGP Sirro peleka Traffic Sweden kujifunza misafara ya wenzetu, Time is Money!

    Tuliwahi kusimamishwa pale Veta Zaid ya Saa 1 Kusubiri msafara Sijui wa kiongozi Gani,,Nashindwaga kuelewa hawa wahusika Inakuaje hawajali muda wa wanachi
  5. S

    Fahamu jinsi ya Kulink/ Kuregister Paypal account Tanzania

    Hebu nitajie site 2 kubwa duniani za mauzo na manunuzi wanazotumia bitcoins
  6. S

    TANZIA: Mtalii afariki baada ya Parachuti kugoma kufunguka akiruka Mlima Kilimanjaro

    kulikuwa na haja gani ya kushuka kwa kuruka?wakati ameupanda kwa kutembea RIP
  7. S

    Ushahidi mtumishi wa TRA waiva

    DUh sema mambo mengine ukiazi tuu magari 19 thamani yake 190m wakati kuna watu wanamiliki magari mawili thamani yake 200m sasa kama huyo dada kawekeza kwenye magari kosa lake nn hapo Hv hizi taasisi wanataka watu wategemee mishahara tu au??kweli naamini nchi masikini lzm itake kukurudisha kwenye...
  8. S

    Msaada: Nina certificate ya account, naweza kusoma diploma ya unesi?

    Kwa Maelezo Zaid Ungepitia guide book ya 2016/2017
  9. S

    Msaada: Nina certificate ya account, naweza kusoma diploma ya unesi?

    Ndugu Hapo Inawezekana Kbs Ila Lzm Uanze Certificate,,
  10. S

    Ushauri kwa Mange Kimambi

    Kumbe Yule Page Ni Ya Msomi??? Daah!!Bc Htr Sana Maana Me Nilijua Ni Page Ya Mtu Flan Hv Chizi Chizi Asiekuwa Na Mbele Wala Nyuma...Dah!!Ule Upuuzi Ambao Anaandika Hata Mtoto Wa Darasa La 7 Haandiki
  11. S

    Awamu ya pili: Orodha ya wanafunzi waliochaguliwa vyuo mbalimbali nchini 2016/17

    Penda Kutembelea websites za vyuo husika ndio huwa wanaweka updates zote
  12. S

    Matokeo ya kidato cha pili ya mwanafunzi aliyeshambuliwa na walimu

    Kwhy Ww Unasupport Kipigo Kama Kile?? Ualimu Una Maadili Yake Na Kumpiga Mwanafunz Namna Ile Bc Ni Ukiukaji Wa Maadili Ya Taaluma Ya Ualimu
  13. S

    IRINGA UNIVERSITY WASALITI.

    Hahaha Maisha Ya Siku Hizi Yanatawaliwa Na watu Kujianika Mitandao Kila Kinachotokea Wanataka Kupost fb Na Instagram Ss Hv M2 Na Akili timamu Unaweza Vp kupost Video Kama Ile
  14. S

    Waziri Ndalichako awatimua Chuo walimu wa mafunzo waliompiga mwanafunzi shule ya Kutwa Mbeya

    Kuwa Mwalimu Kuna Maadili Yake Na Taratibu Zake Ss Ukiona mwalimu Anarusha ngumi Au Anatukana Wanafunzi Ujue Huyo Hana sifa ya Kuwa mwalimu Hata Hao Walimu hapo Hawana sifa Hiyo Mh.Ndalichako Hebu Futa Vyeti Vya hao Watu Warud Wakasomee Taaluma Nyingne Ila Sio Ualimu
Back
Top Bottom