jenerali kibibi
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,167
- 630
akili za kimaskini bhana,kwahiyo ukiwa mtumishi huwez kuwa na kaz nyingine ya kukuingizia hela? hakina mikopo?Tuache kuiba, tuache kufanya kazi kwa mazoea, tuache uvivu, tuache njia za mkato, tutumie vyeti vyetu halisi, tupiganie haki zetu kwenue huduma za afya, miundo mbinu, elimu, umeme, maji, ustawi wa jamii na kupiga kazi kwa maarifa na juhudi...
Ama sivyo ndio haya...
ushamba