Recent content by saidi bunduki

  1. saidi bunduki

    Naomba kujuzwa njia za kupata SUBSCRIBERS YouTube

    Oooohhhh saw saw nimekuelewa mkuu
  2. saidi bunduki

    Naomba kujuzwa njia za kupata SUBSCRIBERS YouTube

    Nadhani karibu Kila mtu ana/ anatamani kuwa na channel ya YouTube kwa ajili ya kuweka maudhui mbalimbali. Na katika safari hiyo bila shaka kila mtu anatamani kuwa maarufu na kufuatiliwa na watu wengi. Nami ni mmoja ya wahanga hao ambao wanahangaika kutafuta VIEWS na SUBSCRIBERS huko youtube...
  3. saidi bunduki

    Natafuta kazi ya udereva

    Mungu akubariki ufanikiwe mkuu. Nakuombea sana
  4. saidi bunduki

    Makosa 10 wanayoyafanya baadhi ya youtubers (hasa) wachanga

    Nimeiokota mahala nikaona si vibaya kuja kushea na wadau hapa Makosa haya hufanywa sana na watu ambao ndio wameingia katika tasnia ya kuweka maudhui katika mtandao wa youtube. Wanafanya hivi wakiamini kuwa wanatengeneza kumbe kwa kiasi kikubwa wanapochonga. Twende sawia nami Saidi R. Bunduki...
  5. saidi bunduki

    Sikupendi (Shairi)

    1. Penzi pendezo la moyo, kwa uliye mkhiyari Moyo usemapo ndiyo, na mwili huwa tayari Kwa jumla yote hayo, ndio pendo hutabiri ila wewe sikupendi, na wala huna kasoro 2. Nimechora kwenye jiwe, hakuna nilichopata Liwalo basi naliwe. Nilichoka kukuota Ulinipa nini wewe, mpaka nikakufata? ila wewe...
  6. saidi bunduki

    Maajabu 20 ya tunda la stafeli katika tiba

    Asante mkuu.. Samahani kwa kuchelewa kujibu... Sikuwa mtandaoni muda mrefu... Nitakujuza njia m badala kiongozi
  7. saidi bunduki

    Maajabu 20 ya tunda la stafeli katika tiba

    Unafanya kama vile mchaichai. Kwa maana unayachemsha na maji kisha unakunywa maji yake..... Asubuhi kikombe kimoja na jioni 1
  8. saidi bunduki

    Maajabu 20 ya tunda la stafeli katika tiba

    Kwa jina jingine hujulikana kama (Tope tope) Nadhani ni kwa sababu ya umbile lake hasa likiwa limeiva huwa laini mfano wa tope. Huenda sura yake ikawa mbaya kwa muonekano, lakini ni tunda lenye faida nyingi sana ikiwemo uponyaji wa magonjwa mbali mbali. NAMNA YA KUTUMIA STAFELI Stafeli...
  9. saidi bunduki

    Njia 10 za kudhibiti hasira

    [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
  10. saidi bunduki

    Njia 10 za kudhibiti hasira

    Sahihi kabisa mkuu
  11. saidi bunduki

    Njia 10 za kudhibiti hasira

    [emoji106][emoji106]
  12. saidi bunduki

    Njia 10 za kudhibiti hasira

    Mwandishi: Saidi Bunduki Wahenga walisema "Hasira hasara" Msemo huu wa wahenga una maana kubwa sana, lakini maana yake huwezi kuiona pale ambapo tayari utakuwa na hasira / Jazba. Kitu cha muhimu ni kuufanyia kazi na kuuweka akilini kwa wakati huu ambao una furaha na bashasha kwa kusoma makala...
  13. saidi bunduki

    Taharuki ya dunia

    Bunduki hii ni kutoka PANGANI TANGA TANZANIA. huenda kweli unaifahamu
Back
Top Bottom