Recent content by Said sanga

  1. Said sanga

    Yuko wapi Charles Jangalason?

    Kama Bado unatafuta wimbo wa waganga wa kienyeji nitafute nikupe ,+255753893995
  2. Said sanga

    Yuko wapi Charles Jangalason?

    Hata mi siku zote Huwa nadhani ni mkenya, kama mtanzania atakuwa alikuwa na mashabiki sana kenya
  3. Said sanga

    Kikokotoo cha pension/mafao

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hahahah jamani
  4. Said sanga

    Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Sio kweli Kwa mshahara wa m1.3 lumpsum ni 39M na pension Kila mwezi inakaribia hiyo 500k
  5. Said sanga

    Wanaume wa Kikristo hizi ndio njia za kuwapata mabinti wazuri wa kiislam ukiwapata hutojutia

    Usitufundishe uhuni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  6. Said sanga

    Kikokotoo cha pension/mafao

    Yaani Kwa miaka yote nilikuwa nasikia kikokotoo kikokotoo nimejaribu kutafuta mifano YouTube Kwa pssf, nssf lakini wapi, kama bahati Leo nipo hapa, nimekuelewa sana yaani sana, kumbe wamepunguza mkupuo wameongeza pension ya Kila mwezi. Nmecalucalate ukistaafu Kwa mshahara wa m2 Kila mwezi...
  7. Said sanga

    Yalikuwa ni mapenzi haramu yaliyomwaga damu

    Umenikumbusha the rotten world ni mwaka 2004
  8. Said sanga

    Nitazipata wapi hizi hadithi zilizowahi kuvuma kwenye majarida?

    Mlinzi wa zamu, anga za wenyewe, Dunia iliyooza, Pablo zungu, mamdogo, nesi mtalamu. Acheni nyie nyuma raha
  9. Said sanga

    Nitazipata wapi hizi hadithi zilizowahi kuvuma kwenye majarida?

    Blaza hicho Cha simu ya kifo hata ukiscan unitumie ntakushukuru milele, nilikisoma nikiwa Darasa la pili mwaka 1994 sijakisahau Bado nakumbuka Kuna Agnes na FAMBO
  10. Said sanga

    Simu ya Kifo

    Mi sikioni
  11. Said sanga

    Tujikumbushe: Ahadi/Vipaumbele vya Rais Magufuli

    hahahahahahahahha sikutaka kucheka mimi
  12. Said sanga

    Simulizi Ya Kweli: Msako Wa Mange Kimambi

    Hadithi nzuri hii, hadithi yoyote ya kutungwa inayo reflect ukweli huwa ni nzuri
  13. Said sanga

    Kwanini wanaume matajiri na wasomi wanawapenda wanawake wabaya

    wana filosofia huwa wanauliza uzuri ni nn, je ninani anao uzuri kati yamtazamaji na mtazamwaji je uzuri wa mtu upo machoni nmwa mtu anayemtazama,?
Back
Top Bottom