- Thread starter
- #21
Sijawahi kuyasoma..nitafurah nikiyasomaJitambue na mshauri yako yatunze hayo magazeti maudhui yake yataishi hata miaka 1000 mbele
Sijawahi kuyasoma..nitafurah nikiyasomaJitambue na mshauri yako yatunze hayo magazeti maudhui yake yataishi hata miaka 1000 mbele
Ila Bible unasoma, sio?Zama zimebadilika, ukizisoma leo hizo wala hautazifurahia tena kiviiiiileee!!
Imefika mkuu🙏Huu ni utamaduni mzuri sana wa kutunza vitu vya zamani..mpe kongole kwa niaba yangu
Sijakuelewa
Dah hicho kitabu cha pili pilipili nakitafuta sana jamani hakuna msaada naweza pata tafadhali toka kwako mkuu.Namshukuru mamangu ni mpenzi wa kusoma vitabu, magazeti, majarida n.k huwezi amini mpaka leo hii hivyo vitabu vipo ni mtu ukijisikia kujikumbusha unaenda kwenye library yake unachukua na kuburidika, mpaka magazeti ya jitambue na mshauri wako yapo mpaka leo hii na ukiyasoma bado yana ladha taam,.kwa hakika vya kale dhahabu.
Mfano vitabu vya marehemu H.H Katalambula na watunzi wengine mashuhuri ambavyo vipo hapa:
Lawalawa, pili pilipili, najisikia kuwa tena, simu ya kifo,msako wa hayawani, hofu, aisee ni vingi mnoo
Tatizo uaminifu mkuu😔😔,.kuna member humu mpaka leo ana vitabu vyangu hajanirudishia tangu nimuazime,. tena ni vitabu aliniachia marehemu uncle wangu siwezi kuvisahau aisee ni vya mwandishi James Hadley Chase,.Dah hicho kitabu cha pili pilipili nakitafuta sana jamani hakuna msaada naweza pata tafadhali toka kwako mkuu.
mzee Kisiki mchawi kinoma, alikuwa anapambana sana na Bibi ChonjoluchonyaHadithi moja nilikuwa nafuatilia sana
KISIKI CHA MPINGO (huyu mzee ni noma sana). Hawa jamaa walikuwa wanajua kutunga sana.
Kuna ile timu ya bush stars ya Mapung'o. Uncle wangu alikuwa anapenda sana kusoma, namim nilikuwa navizia akimaliza kusoma
unaposikia Samson aliua Wafilisti 300+ kwa mfupa wa taya ya punda tu huburudiki!?Unasoma Biblia ili kuburudika?
samahani, mimi ni mmoja wa wapenzi mno wa riwaya hizi, mfano usiku wa balaa, msako wa hayawani, pesa zako zinanuka ,tutarudi na roho zetu n,k. nina mengi ya kukumbuka, nazipataje tafadhaliNamshukuru mamangu ni mpenzi wa kusoma vitabu, magazeti, majarida n.k huwezi amini mpaka leo hii hivyo vitabu vipo ni mtu ukijisikia kujikumbusha unaenda kwenye library yake unachukua na kuburidika, mpaka magazeti ya jitambue na mshauri wako yapo mpaka leo hii na ukiyasoma bado yana ladha taam,.kwa hakika vya kale dhahabu.
Mfano vitabu vya marehemu H.H Katalambula na watunzi wengine mashuhuri ambavyo vipo hapa:
Lawalawa, pili pilipili, najisikia kuwa tena, simu ya kifo,msako wa hayawani, hofu, aisee ni vingi mnoo
Nasikia alifariki, sijui ni kweli?Inaitwa Anga za Wenyewe, chini ya mtaalam Fortunatus (4T) Ndilla.. sijui yuko wapi huyu mwamba ila heshima yake popote pale alipo! Alikuwa mchoraji smart sana, baadaye akaja Abdulrahman Dohu, naye alikuwa mtata ila si kama 4T Ndilla.
Anga za wenyewe hiyoKuna ile hadithi ilikuwa gazeti la bongo. George ni mpelelezi hatari. Kubwa la majamba likamtuma mrembo Vicky akajitongozeshe na kummaliza George. Vicky kamfananisha Raymond na George na kuzama penzini. Niliipenda sana.
Vitabu vingi Ulaya, hasa vya zamani vilianza kama series za magazetini.
Blaza hicho Cha simu ya kifo hata ukiscan unitumie ntakushukuru milele, nilikisoma nikiwa Darasa la pili mwaka 1994 sijakisahau Bado nakumbuka Kuna Agnes na FAMBONamshukuru mamangu ni mpenzi wa kusoma vitabu, magazeti, majarida n.k huwezi amini mpaka leo hii hivyo vitabu vipo ni mtu ukijisikia kujikumbusha unaenda kwenye library yake unachukua na kuburidika, mpaka magazeti ya jitambue na mshauri wako yapo mpaka leo hii na ukiyasoma bado yana ladha taam,.kwa hakika vya kale dhahabu.
Mfano vitabu vya marehemu H.H Katalambula na watunzi wengine mashuhuri ambavyo vipo hapa:
Lawalawa, pili pilipili, najisikia kuwa tena, simu ya kifo,msako wa hayawani, hofu, aisee ni vingi mnoo
Mlinzi wa zamu, anga za wenyewe, Dunia iliyooza, Pablo zungu, mamdogo, nesi mtalamu. Acheni nyie nyuma rahaHabarini wana jamvini?
Nilikuwa msomaji mzuri sana wa majarida ya mwezi kama Bongo, Sani na Tabasamu. Ndani ya haya majarida kulikuwa na riwaya nzuri sana za kusisimua kama MUSAKO WA HAYAWANI, MSAKO WAMR X (riwaya za Eddie Ganzel, na baadae Ray Ganzel ktk jarida la Bongo), DAMU NZITO ya Amri Bawji kwny jarida la Sani.
Na hata kwenye jarida la Tabasamu kulikuwa na mtunzi maarufu wa riwayaa ajulikanae kama Emmanuel P. Ndonde alikuwa akitunga hadithiza wapelelezi maarufuakina Micky Reuben na Dick Masamba (kama sijakosea).
Hizo ni baadhi ya hadithi nazozikumbuka, zipo nyingi tu zilizowahi kutungwa na kuchapishwa kwny majarida hayo..kuna baadhi ya hadithi za michoro chini ya wachoraji maarufu kama Fortunatus Ndilla (mtaalam), John Mohamed Kaduma(R.I.P), Aloyce Jacob, Daud Masasi n.k walitunga hadithi za michoro kama, Mlinzi wa zamu, Anga za wenyewe, Hofu ya vizito, hadithi za akina mzee ole, obi, linda n.k.
Hiyo ilikuwa ni miaka ya tisini katikati mpaka alfu mbili mwanzoni, magazeti haya yalikuwa maarufu sana. Nilikuwa mdogo kipindi hicho lkn nilikuwa navizia kwa majirani walionunua nami naazima.
Kwa kipindi cha hivi karibun nimekuwa nikipita k'koo kwa wauza vitabu, majarida na magezeti kubahatisha kama wanaweza kuwa na vitabu vya hadithi hizo. Nilibahatisha kupata kimoja tu cha MSAKO WA HAYAWANI.
Je hakuna utaratibu wowote wa kuwashauri watunzi au wamiliki wa hizi hadith wakachapisha kitabu kimoja kila hadithi na kuviuza?.. Maana hadithi hizi zilikuwa nzuri sana na zenye kufundisha.