Kuna Dr. aliwahi kuchukuwa form ili apitishwe Na chama awe mgombea wa urais Tanzania visiwani wakati rais ilioko madarakani alikuwa ametawala awamu moja, anataka apitishwe na chama awamu ya pili, Na aliekuwa Mwenyekiti wa wakati huo haikuwa kesi bali busara ilitawala
Sent using Jamii Forums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.