Recent content by said kumbemba

  1. S

    Membe kuwatumia Yanga, GSM, Ridhiwani Kikwete na Nyamlani kampeni za uchaguzi wa Rais 2020

    Kuna Dr. aliwahi kuchukuwa form ili apitishwe Na chama awe mgombea wa urais Tanzania visiwani wakati rais ilioko madarakani alikuwa ametawala awamu moja, anataka apitishwe na chama awamu ya pili, Na aliekuwa Mwenyekiti wa wakati huo haikuwa kesi bali busara ilitawala Sent using Jamii Forums...
  2. S

    Barua ya wazi kwa Lowassa na Sumaye

    Ushauri mzuri itakuwa bora kama wataufanyia kazi. Kila la kheri katika kustaafu kwa wazee wetu Hawa.
  3. S

    Mufti Mkuu: Ni wakati sasa wa kuifanyia Mabadiliko BAKWATA ili kuwaunganisha waislamu wote Tanzania

    Alhamdulillah, ni maneno mazuri kuyasikia Allah, atufanyie wepesi katika kutekeleza na kufanikisha.
  4. S

    Askofu Stephen Munga: Wakati mwingine tunapopata madaraka na mamlaka tunageuka na kujifanya miungu ya dunia

    Maisha ya duniani ni mafupi sana. Ni vizuri kuishi na viongozi wetu wakatuongoza vizuri.
  5. S

    Ya Kikwete yanafurahisha

    Mh, jakaya alikuwa msikivu, mnyenyekevu, anavumilia, hana jazba, wapinzani watekeleza majukumu yako kama kawa.
  6. S

    TBC taifa na matangazo ya mpira(Kashasha)

    TBC kwa Hakika kwa matangazo ya mpira wa miguu wapi juu.
Back
Top Bottom