johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,853
- 141,772
Mufti wa Tanzania, sheikh Zuberi amesema ni wakati sasa wa Bakwata kubadilika ni kulifanya baraza hilo kuwa la waislamu wote wa Tanzania na hivyo kuwaunganisha kiroho.
Sheikh Zuber amesema hayo wakati akifunga mkutano mkuu wa Bakwata uliofanyika kwa siku 2 katika ukumbi wa Pius Msekwa, bungeni mjini Dodoma.
Source: Eatv habari!
Sheikh Zuber amesema hayo wakati akifunga mkutano mkuu wa Bakwata uliofanyika kwa siku 2 katika ukumbi wa Pius Msekwa, bungeni mjini Dodoma.
Source: Eatv habari!