mimi mwenyewe shuleni kwangu hakuna mwanac.c.m hata mmoja. mshahara wenyewe wanaongeza miambili na mdaraja yenyewe hawatupandishi nani ataipendenda serikali ya aina hii. inajari matumbo ya watawala na kupiga wananchi kwenye maandamano ya amani.
haya ni ya kawaida kwani ukiona hivyo bado sisiemu hawapumui kwa chadema. tekelezeni sera zeni chadema haiwahusu. hao ni wasaliti wa chama wakishirikiana na sisiemu lumumba. na yataendelea matamko hayo uzuri yamezoeleka
tuna taka katibu lakini ajue kwamba hatumchagui kwa dini yake. kuwa mwislamu au mkristo sio kigezo. suala ni shule na weledi wa hali ya juu. vinginevyo tutaanza kuchakachua elimu sana kwa minajili ya kidini. huo ni ujinga nkubwa
wa zanzibar ni ndugu zetu. cha msingi tukubaliane kwa amani aina ya muungano tutakao. hakuna kshindi kwa hili.sisi sote ni ndugu watoto wa babu mmoja karume na nyerere
mbona watu walikuwa wengi? walifanya mkutano wa kawaida kwani pembeni kuna mkutano wa dini. hivyo walipunguza mzuka ili kutovuruga mkutano wa dini pembeni yake.
kazi ya sheria ni kuonyesha dhambi. wewe unaesema yesu alivunnja sabato wewe ni mwongo.mimi naamin i kwamba yesu hakuja kutangua torati wala manabii mpaka yote yatimie, yodi moja ya nukta haiwezi kuondolewa. paulo anasema nisingetambua dhambi bila sheria kuwepo. ukitaka nikupatie mafungu
tmebaki na mahaka peke yake kudai haki zeti. bunge limehujumiwa na wanac.c.m na serikali ndio wabambikizia kesi. yote haya wanafanya kwa maelekezo ya usalama wa taifa na c.c.m yao. nassari alipigwa kila mtu anajua kwamba ni green gurd walimpiga sasa kwanini wanambambikizia kesi. kwa heshima ya...
huyo lwassa ndiye anayedai urais. nani atampatia kwa uhuni huu?tukumpatia nchi si itakuwa hatari zaidi. lwassa na mwigulu ni kundi moja. wote ni wamafia. wapo tayari kuua watu kama hawakubaliki ili walinde maslahi yao. kumbuka hata kina mwakyembe na sitta waliwahi lalamika kuhusu kundi hili la...
hizo ndizo siasa za kina mchemba kwenda kwenye nyumba za ibada kueneza siasa. kama wangeenda chadema kanisani au msikitini ungesikia mwigulu akisema chadema wameanza kutumia makanisa. kanisani ni sehemu ya ibada na kusoma neno la mungu. mwigulu si mchungaji au shehe. amechangia hela za kutoka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.