Huwez kuishi maisha matakatifu pasipo kumshirikisha MUNGU na MUNGU amewaagiza wanafunzi wake (wale wanaomjua kama huyo papa) "Enendeni ulimwenguni mkawafanye mataifa kuwa wanafunzi wangu....." Mambo mengi sasa hivi yako kwa mtandao. Huyo papa ana yake
Furaha huja pale unapokuwa na amani na watu wote, uwe na uwezo wa kutumia maneno haya: Pole, samahani, asante, karibu na mengineyo yanayoonyesha hali ya kujishusha. Alafu kuwa mbunifu ili kuongeza kipato chako alaf tambua mahitaj ya wanaokuzunguka na wakihitaj msaada wapatie kadri ya uwezo wako...
Maisha yake yaliosalia hapa duniani yatakuwa na huzun sana kwa kitendo hicho, ingawa ni bahati mbaya lakini ingekuwa ni ndugu au dada wa kazi kasababisha kifo cha huyo mtt angeozea jela. Ila tushukuru MUNGU kwa kila jambo lakn uzembe unapotoa tujifunze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.