Recent content by sabudi

  1. S

    Mchepuko wa Kikorea umeng'ang'ana nirudi nao Tz

    kosa kubwa ulilofanya ni kumpa yeye akakate tiketi,,,wenzako huwa hawaagi,,ungeendelea kuwa nae then ungemtoroka bila kujua siku unayoondoka, ukifika Tz unawasiliana nae kumweleza ukweli. nakushauri fanya juu chini badilisha tarehe ya safari ikiwezekana weka ya siku za karibu kabla ya tarehe ya...
  2. S

    Nimemtelekeza supermarket na bili ya laki nne

    hakuazima gari kumuonyesha anazo..yeye amesema huwa anaazima gari kurahisisha mizunguruko ikimaanisha ni kweli kabisa kwamba anapunguza gharama ya kuchukua taksi ya kwenda na kurudi na kumrudisha demu...
  3. S

    DNA ikifanyika kwa kila familia ndoa nyingi zitavunjika

    mimi sihusiki nimekuonyesha na matokeo yangu hapo
  4. S

    Kumbe mimba ya Zari si ya Diamond

    mbona mwenzie Bobi Wine (uganda) alitangaza kwamba kampima mtoto wake DNA ikagundulika sio baba halisi...aseme tu ni mambo ya kawaida siku hizi...ni sawa na mashoga wanavyojitangaza hadharani wakati zamani ilikuwa sio rahisi
  5. S

    Nimevurugwa sina hamu na mwanamke

    kitaaluma ya udaktari haiwezekani ukadanganya majibu kwa mhusika halaf ukaweka report ya ukweli ktk file la ofisini yaani mfano majibu ni negative wewe ukampa mgonjwa majibu positive halaf kwenye file ukaweka majibu ya kweli ya negative...hicho kitu hakiwezekani kabisa kwasababu kuna AUDIT...
  6. S

    Nimevurugwa sina hamu na mwanamke

    Kama hivyo ni kweli wasingetoa takwimu za asilimia 40 ya wanaume walioenda kupima mwaka jana wamebambikiwa..hii issue ya DNA ni very sensitive aisee hawawezi kukupa majibu ya uongo eti kuepusha watoto wa mitaani...
  7. S

    Hivi wanandoa wenzangu na wake zenu pia wako kama huyu wangu?

    Aisee hv wewe umeoa au unazungumza nadharia? kuna ndoa ambayo ina amani siku zote? wewe na wazazi au ndugu zako wadamu tu mnagombana sembuse mtu uliekutana nae ukubwani (mke),,hii dunia ya sasa hayo ni mambo ya kawaida sana aisee usimdanganye mtoa mada akamwacha mke kisa maugomvi ya kila...
  8. S

    Maelezo binafsi ya Emmanuel Adebayor kuhusu mgogoro wake na Familia yake

    nimependa hiyo ya kumjengea kila mtu nyumba na kuwalipa mshahara kila mwezi duh...ndio mana juzi Mayweather kaulizwa utaisaidia vp Afrika? kajibu kwani wao wamenisaidia nini mimi? mwisho akamalizia kwamba anawapa kipaumbele watoto wake 3 tu
  9. S

    Jinsi ya kuwa Tajiri

    Nyinyi ndio mnatakiwa JF...ubarikiwe aisee..ushauri mzuri sana
  10. S

    Mnakosea kuchagua mke mwema kwa sababu mnapenda kuangalia kimo cha mbuzi

    kwahiyo hao wa kimo cha mbuzi wasiolewe sio? vilevile tambua kwamba wapo wa kimo cha mbuzi walio na yesu pia...chamsingi ni kuomba mungu akupe mke mwema tu haijalishi yukoje...na kumbuka binadamu wanabadilika badilika sana unaweza kuona leo yuko na yesu ukaoa baada ya miaka mitatu akawa yuko na...
  11. S

    mawazo tafadhali

    uligundua kwa njia gani ungetupa ujuzi ndugu tukajifunzia kwako
  12. S

    Samahani, hivi hii lugha ya kiarabu haiwezi kubadilishwa?

    unajua hata Qura-ni sio kiarabu..ile ni lugha inayofanana na kiarabu, wapo waarabu wengi tu hawajui Qura-in. pili niliwahi kumsikia padre mmoja akiomba Biblia ya kingereza wakati alikuwa na biblia ya Kiswahili akasema iliyosahihi zaidi ni ya kingereza..hapa maana yake ni kwamba kitu chochote...
  13. S

    Kaja kuomba samahani bila aibu

    ila za kikristo ndio za kudumu kama za kina flora mbasha, lady jd, mzee ipp na raisi wako mstaafu etc
  14. S

    Kaja kuomba samahani bila aibu

    inategemea imepita kipindi gani kama ni zaidi ya siku 90 yani miezi 3 hapo kasheshe...na pia kama ilikuwa ni talaka 3 pia ni mtihani...nimeona wewe ni muislam nikakujibu kidini zaidi...
  15. S

    Naapa kwa hili sijawahi kuliona kwa wazungu

    kwangu mimi mataahira au wendawazimu ina maana kubwa na pana sana...hata hawa wanaotembea uchi ni type ya machizi tu kwahiyo nikimwona mzungu yoyote kavaa kiajabu nam regard kama mwendawazimu kwahiyo kwangu wako wengi sana Tanzania
Back
Top Bottom