Nimekupata Mshana, siku moja nilikuwa nasikiliza mahubili ya Nabii Frank Kilawa,yeye anasema aliiombea chumvi iwe na nguvu za Mungu,lakini pale kanisani washirika wake wawili walikuwa wanagombania mipaka yao huko shambani kwani walikuwa wamepakana,hivyo yule mshirika mmoja akachukua chumvi ile...
Mshana ni kweli kisiwa cha gamboshi kipo katika ulimwengu wa roho wa wachawi,kwani kuna msukule mmoja ambaye alirudishwa na gwajima aliongea mambo ya hatari sana ya gamboshi
Unajua kisiwa cha Gamboshi nilidhania kipo duniani ktk ulimwengu wa mwili,kumbe sio.Niliyasikia mazungumzo ya msukule mmoja aliyerudishwa na Gwajima ambaye alikaa kisiwa cha gamboshi miaka 12,ni kisiwa cha wachawi na cha hatari.Mshana kwa busara zako tueleze habari za gamboshi kama unaifahamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.