Elimu kutoka Tanesco

Elimu kutoka Tanesco

Je kisheria tunahitajika kuwa na Hati ya ukaguzi wa system ya umeme ndani ya nyumba kama unataka kununua au kuuza nyumba?
ndio lazima mkandarasi akupatie ELECTRICAL INSPECTION CHECKLIST nahii nishelea kufanya ukaguzi sio tanzania tu duniani kote
 
HAPA kinachoangaliwa ni usalama wa mali na watu hivyo tunakusihi kuzingatia usalama huu mpendwa mteja wetu
Mkuu mimi niliomba kuunganishiwa Umeme, sasa juzi wamenipigia nikalipie lakini kwa bahati mbaya nimesafiri,, sasa sijajua huwa ina ukomo au ni vipi
 
*SHIRIKA LA UMEME TANZANIA*

*TAARIFA YA MABORESHO YA MIUNDOMBINU YA UMEME*

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake wa wilaya ya Kisarawe kuwa kutakuwa na kazi ya maboresha ya miundombinu ya umeme itakayofanyika siku ya *Alhamisi* *tarehe 18/07/2019*, ili kufanya kazi hiyo, umeme utazimwa kuanzia *saa 03:00 asubuhi mpaka saa 11:00 jioni*

*MAENEO YATAKAYOATHIRIKA NI*
Maeneo yote ya Majohe, Bombambili, Viwege na baadhi ya maeneo ya Gongo la mboto mwisho wa lami.

Tafadhali usishike wala kukanyaga waya ulioanguka au kukatika toa taarifa kupitia dawati la dharura TANESCO Kisarawe:
0655 989935 Or Dm.kisarawe@tanesco.co.tz

*Uongozi unaomba radhi kwa usumbufuwowote utakaojitokeza*

Imetolewa na:- *OFISI YA UHUSIANO NA HUDUMA KWA WATEJA- KISARAWE.*
 
Mkuu mimi niliomba kuunganishiwa Umeme, sasa juzi wamenipigia nikalipie lakini kwa bahati mbaya nimesafiri,, sasa sijajua huwa ina ukomo au ni vipi
Malipo unafanyia kokote hata kwa njia ya simu cha msingi wakutumie contol namba
 
Tunatekeleza
IMG-20190718-WA0080.jpeg
IMG-20190718-WA0081.jpeg
 
*JUA MUDA AMBAO MTEJA ANAPASWA KUFANYA UKAGUZI WA MTANDAO WA NYAYA NDANI YA NYUMBA*

*UKAGUZI UFANYIKE KUPITIA WAKANDARASI WALIOSAJILIWA*

Ili kuendana na matakwa ya Kanuni za Umeme za mwaka 2019 (The electricity Installation Service rules 2019), inayolenga kujiongezea usalama na kuondoa upotevu wa umeme, mteja aliyenganishiwa umeme anawajibika kufanya ukaguzi/uchunguzi wa mtandao wa nyaya (wiring) na vifaa vingine kwenye makazi yake kila baada ya muda uliotajwa kama ilivyoanishwa hapo chini.

Nyumba za kuishi *Ukaguzi ufanyike kila baada ya miaka 5*

Kiwanda *Ukaguzi ufanyike kila baada ya miaka 3*

Majengo ya biashara na hoteli *Ukaguzi ufanyike kila baada ya miaka 2*

Hospitali *Ukaguzi ufanyike kila baada ya miaka 5*

Shule na vyuo *Ukaguzi ufanyike kila baada ya miaka 5*

Maeneo ya starehe yenye mikusanyiko (Public entertainment) *Ukaguzi ufanyike kila baada ya mwaka 1*

Kuunganishiwa umeme kwa kipindi maalum (Temporary installation)
*Ukaguzi ufanyike kila baada ya robo mwaka*

Nyumba za ibada *Ukaguzi ufanyike kila baada ya miaka 5*

Vituo vya mafuta ( Fuel filling stations) *Ukaguzi ufanyike kila baada ya mwaka 1*

Maeneo makubwa ya Starehe (Leisure complexes) *Ukaguzi ufanyike kila baada ya mwaka 1*

Magari maalum ya kuhamishika yenye muundo wa nyumba *Ukaguzi ufanyike kila baada ya miaka 3*

Sehemu maalum za kufulia nguo kama mahospitalini na mahotelini *Ukaguzi ufanyike kila baada ya mwaka 1*

Kumbi kubwa za starehe hasa zilizojengwa maalum kwa kupiga disko *Ukaguzi ufanyike kila baada ya mwaka 1*

Taa maalum za dharura kwenye majengo makubwa *Ukaguzi ufanyike kila baada ya miaka 3*


*SAMBAZA KWA WENGINE ILI KUTOA ELIMU NA KUFUATA KANUNI*


*TANESCO TUNAYAANGAZA MAISHA YAKO*
Mshana tueleze je unaifahamu vipi sehemu ya internet iliyofichwa,nipo interested kwenda kutembea huko
 
*TANZANIA ELECTRIC SUPPLY COMPANY LTD(TANESCO)*

*PLANNED POWER OUTAGE NOTICE*
The Tanzania electric supply company LTD (TANESCO) regret to inform its esteemed customers at Mkuranga district that there would be power outage as follow:-

*Date*:-Tuesday, 30th July 2019.
*Time*:-from 9:00am to 5:00pm.


**REASONS:*
1* .Reallocate Electric poles and wires at Kiburugwa-Mbagala area so that the upgrade to bitumen standard the road network infrustructure can take place.

*2* .Tree cutting exercise.
This task will include cutting tree,tree branches that touches our electric lines so as to improve the reliability of electricity to our customers.

*AFFECTED AREAS*

*(A)MKURANGA ONE FEEDER:-*
Zongfu1,Zongfu,Teng dar,Knauf 1,Knauf 2,Whuzou,Jhae,Tian Tang,Dundan Habib Suluo,Masami,Surpass,Mass Plastic,Rompeg,Hontai Ltd,Bubugao Food Wear,Unifly B,Dundani Juma Mzee,Dundani Muro,Up one International,Unifly,Branket Texture Manufacture,Xutan Ltd NeelKanth Salt.

*(B) SOMANGA FEEDER:-*
Mkuranga,Kiparang'anda,Mwarusembe,Kisiju, Mkamba,Kimanzi chana & Mkiu -Somanga.

In case of emergency please call TANESCO Mkuranga emergency desk:
0685-922888
+255 23 211 0096


*Any inconvenience is highly regretted*

Issued by:-

*District Customer Relations TANESCO Mkuranga*
29.07.2019.
 
Back
Top Bottom