Recent content by Sabato Mukama

  1. Sabato Mukama

    Siku si nyingi watu kwa asilimia kubwa watahamia kwenye mitandao ya kijamii kama vyanzo vya habari vya kuaminika

    Vyombo bya habari viliisha fungwa minyororo sasa hivi wanawafurahisha tabaka flani
  2. Sabato Mukama

    Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar, kuwahamishia wauza magari Kigamboni

    Ni wazo zuri tu Ila mtoa wazo ndiye sumu hata Dubai ukifika sehemu ya Magari used ipo imetengwa utazunguka humo moaka uchoke mwenyewe kwa hiyo ni wazo zuri tu aisee
  3. Sabato Mukama

    Macho ya Wanaume

    Ahahaaaa ukwale noma
  4. Sabato Mukama

    Waziri Angela Kairuki: Uhakiki wa vyeti haujafanywa kwa Viongozi walio katika nafasi za kisiasa!

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sangoma Mubashara aisee Msukumq hapindui yaani alikuwa kimya kulifanyia kazi na kuwaambia waseme ni akina nani hawausiki ktk hili na inaonyesha yaani mtu asiye na taaluma anaongoza waliobobea kielimu ila Mungu anamuona aliyefanya yote haya leo.
  5. Sabato Mukama

    Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wewee kiboko aisee umenoga sanabasi
  6. Sabato Mukama

    Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

    Umetamka vyema mno kwani wapo wengine wanafundwa na viuno viko kwma panga boy
  7. Sabato Mukama

    Kuna mtu anaweza kuniambia 'ideology' ya rais Magufuli

    Haya bana yote maisha ila Impact yake imeanza kuonekqnq Mubashara
  8. Sabato Mukama

    Kuna mtu anaweza kuniambia 'ideology' ya rais Magufuli

    Hapo umeongea aisee hasa ya Chama Tawala au siyo
  9. Sabato Mukama

    Tukimaliza awamu hii bila STATE OF EMERGENCY tumshukuru Mungu

    Ahsante Mshana kwa maono chanya yenye kuonyesha uzalendo wa kina juu ya Taifa lako,tatizo kubwa liko kwa mtu kutokutaka Ushauri wa wazi juu ya jambo husika na hapo sasa anaona anabezwa Ila na weee usiache kutoa mawazo yako kwani ni hazina katika kujenga unachokiamini kwamba kinafaa ukiacha...
  10. Sabato Mukama

    Rais Magufuli azidi kuiandama mitandao ya kijamii

    Nashangaa Ilani ya Uchaguzi ndani ya CCM inabadilika na kufuata mambo mengine kabisaa kwani mpaka sasa naona giza tu
Back
Top Bottom