Nina kiasi hiko cha pesa, natafuta simu bomba kwa matumizi ya kisomi. Mwenye nayo aina yoyote touch with good memory capacity, Good CPU, tuwasiliane fasta.
Mungu hamtupi mja wake..hatimae afya wamenichagua katika coz ya dental laboratory technician ...kwa anaefaham inahusu nn na wapi ajira zake..pia mshahara naomba anipe dondoo kidogo
kweri..nimeridhika na mawazo yenu..wote walioponda na wote waliojaribu kunisaidia..sura..umbo na pesa kumbe sio kitu..ngoja nimrudie Mungu..naaamin huko nitakua na faraja ya moyo..
inaniumiza kichwa..pamoja na figure bomba sura makin. na hera kibao bado nashindwa kupata msuchana mwenye upendo wa dhat..help me friends how could i do..
wadau nimechoka kutembea kwa mguu sasa natafuta pikipik boxer used ninunue kwa ajili ya matumiz yang..alienayo anitafute kwa namba 0719098138 bei tutaongea
Wakuu wa kaya..nipo jamvin leo kutafuta mchumba toka home..yaaan ngara..nipo..dar..nafanyanya kazi..ndo kigezo cha kuamua ivo..coz naona maisha ndo hayahay....najichelewesha mwenyewe....msichana yeyote mwenye kua na intest basi tutafutane kupitia email..moge53@ymail.com...message zote zitajibiwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.