Alikuwa wapi kuyasema hayo kama kweli anatuhurumia Watanzania alipoona tunanyonywa hadi leo ndiyo anayasema hayo baada ya kukosa kuteuliwa kupeperusha bendera ya CCM,leo kaamua kuhamia CDM anajifanya mwenye huruma kwa Wtz.Hana jipya huyu Lowassa alishatuumiza anataka nafasi ya kuendelea...
Hivi Watanzania wamelogwa?,Lowassa huyu huyu aliyeitwa fisadi hadi jina la ufisadi likwa maarufu leo kageuka shujaa!!!.Ama kweli kuna watu vichwa vya panzi kusahau dakika tu.
Kilichoandikwa kwenye gazeti ndicho kilichotamkwa na Msigwa nawe unakiri,sasa umechanganyikiwa nini? Gazeti limenukuu kila moja atachukua maneno hayo atachanganya na akili zake kisha ataewa, nakushangaa unayetaka kila mmoja aelewe kama wewe. Wapo ambao wana uelewa mzuri wa kupima athari ya...
Bahatimbaya sana na hatari sana ni mtu kutojijua type yake.Kuna watu humu wanajifanya wanakemea uchochezi kumbe wao ndio wanachochea,wengine wajifanya waerevu na kuwakashifu pamoja na kuwatukana wenzao kumbe wao ndio wapumbavu kabisa na bahati mbaya hawajijui.Ushauri wa bure "Watu wajitahidi...
Kuna haja ya watu kutafakari na kutafiti mambo na kuachana na utaratibu wa kupokea kila kinachotangazwa na vyombo vya habari kama kilivyo bila kutumia akili yako kukipima.Unaweza kujikuta wewe mwenyewe unatumiwa vibaya fikra zako na hatimaye kujikuta unakumbwa na matatizo wakati mwanzo...
Akili ya kawaida dereva wa bodaboda snayemkabidhi tajiri wake hesabu ya 7000 kwa siku na siku nyingine anashindwa kukamilisha hesabu hiyo,leo uniambie ametoka Mbarali to Dodoma kwa gharama zake kweli inaingia kwenye akili timamu?Mbona hatuoni makundi yakienda kuwashawishi watu wengine au ndi...
Mlitaka Nape asemee wapi baada ya kuulizwa swali hilo kwenye mkutano wa hadhara?Huyo Lowassa alishapewa adhabu pamoja na wenzake wengine kwa kosa hili analoendelea nalo sasa mwataka aitwe ili aambiwe nini kama hicho si kiburi kama alivyosema Nape.
Kama unajihisi unafit kuchangia maoni mwenye mjadala wowote basi jenga hoja bila matusi wala kejeli,ukitumia matusi na kejeli maana yake huna uwezo wa kujenga hoja zakuelimisha wala huwezi kuwa na ushawishi wowote.
Mbona hata sioni tatizo hapa hata kama jina litabadilika halitokiathiri chama hicho.Sasa nyie mnakuuuza mambo kimenukakimenuka nini sasa au wewe ndiye unaenuka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.