Recent content by Saa 7 mchana

  1. Saa 7 mchana

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Mtumishi wa Umma, nilikopa 20m, nimejenga, kulipa imekuwa mtihani, sijui cha kufanya, nisaidieni

    Ufanyaji biashara ni mjumuhiko wa juzi mbalimbali ambazo ni lazima ujifunnze. Wenye mtindio wa ubongo kama nyie ambao kujifunza ni mtihani. kauli ya Sio kila mtu mfanya biashara ndio kivuli chenu. Na mtakufa ndani ya magofu yenu mkiwa masikini. You are what you risk
  2. Saa 7 mchana

    JamiiForums Tanzania Mimi ni Mtumishi wa Umma, nilikopa 20m, nimejenga, kulipa imekuwa mtihani, sijui cha kufanya, nisaidieni

    Wewe ndio kiaz kabisa. Kukopa na kujenga liability nyumba ya kuishi unaona ndo akili kubwa. Jiunze Elimu ya fedha
  3. Saa 7 mchana

    JamiiForums Tanzania Ujuzi gani unaweza kumfaa mke wangu

    Salute 🫡
  4. Saa 7 mchana

    JamiiForums Tanzania Wazol biashara ( billion dollar business)

    Kilio
  5. Saa 7 mchana

    JamiiForums Tanzania Vipotabo vs nyaminyama

    Nikung'ata na kupuliza
  6. Saa 7 mchana

    JamiiForums Tanzania Vipotabo vs nyaminyama

    AISEE
  7. Saa 7 mchana

    JamiiForums Tanzania Kwanini walimu wenye Shahada za elimu katika masomo ya sanaa wasiajiriwe shule za msingi ili kupunguza idadi ya wahitimu wa fani hizo mitaani?

    I was about to write the same thing. Kiukweli Tanzania tunasafari ndefu sana.
  8. Saa 7 mchana

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa vijana wenzangu.

    Sheria nambari uno. Usimshauri mtu ambaye ajakuomba ushauri.
  9. Saa 7 mchana

    JamiiForums Tanzania Akamatwa kwa kujenga mahandaki sita bila kibali Mwanza

    Anajenga basement, amesahau kuwa hii ni bongo
  10. Saa 7 mchana

    JamiiForums Tanzania Wazazi wa kisasa kwenye kusomesha Watoto shule wanafanana na wauza maduka wa sinza

    Hii pattern mwenyewe nikiiona nishiaga kucheka sana
  11. Saa 7 mchana

    JamiiForums Tanzania Wachina wamejaa Tanzania, sasa hivi wameanza kuhamia Mbeya

    Tupe na takwimu za watanzania waliopo miji mbalimbali uchinani
Back
Top Bottom