Umenikumbusha miaka ya nyuma nipo kijiweni, kunajamaa jamaa nilikuta anawapa washikaji stori ya Obama na Jay Z.
Obama alimwambia Jay Z "break a leg.." Jamaa akawatafsiria kuwa usicheze na mimi nitakuvunja mguu.
Nilicheka sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.