Recent content by Saa 7 mchana

  1. Saa 7 mchana

    Natafuta Idea ya System Itakayozalisha Kipato

    Sales ni lifeblood ya Biashara
  2. Saa 7 mchana

    Natafuta Idea ya System Itakayozalisha Kipato

    Kuna software tayari ushaitengeneza. azakufikiria wateja wake ni kinanani, wanapatikana wapi, wanaweza kulipia kiasi gani na wewe utawafikiaje.
  3. Saa 7 mchana

    Natafuta Idea ya System Itakayozalisha Kipato

    Wee jamaa jifunze sales. Ukijifunza sales utatoboa vibaya mno.
  4. Saa 7 mchana

    Interview za kiwaki sana

    Umenikumbusha miaka ya nyuma nipo kijiweni, kunajamaa jamaa nilikuta anawapa washikaji stori ya Obama na Jay Z. Obama alimwambia Jay Z "break a leg.." Jamaa akawatafsiria kuwa usicheze na mimi nitakuvunja mguu. Nilicheka sana
  5. Saa 7 mchana

    Interview za kiwaki sana

    🤣🤣😂😂🤣
  6. Saa 7 mchana

    Interview za kiwaki sana

    Wabongo tunazani tunajua kimombo. Kumbe kunakujua kimombo na kunakuzani unajua
  7. Saa 7 mchana

    Uwekezaji wa majengo haulipi

    Upo sahihi, uwekezaji unahitaji miaka zaidi ya kumi kuanza kuona positive side. Ila kama cashflow ipo nazani hakuna shida
  8. Saa 7 mchana

    Wasomi wengi hawajashindwa maisha, wamekosa uwezo wa ku-adapt na mtaa

    Mtaa ulikuepo kabla ya formal education. Hapo tatizo ni muelimika.
  9. Saa 7 mchana

    Mapenzi ni umasikini mtupu?

    Raha mnapata wote cha ajabu gharama kwako ~ zohani
  10. Saa 7 mchana

    Ushauri wenu tafadhari. Nimfuate huyu mwanaume kumuuliza kwa nini alinidanganya au nifanye?

    Usitafsiri vitu kama ulivyo bali utafsiri kama vilivyo
  11. Saa 7 mchana

    Sheikh Mussa: Watoto wajengewe msingi wa dini wakiwa bado wadogo

    Dini haitawasaidia kitu,Ila maadili yatokanayo na mafunzo ya dini ndio yatakayo wasaidia.
Back
Top Bottom