Recent content by Ryaro ryaro

  1. Ryaro ryaro

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Katibu Mkuu NRA: Sasa hivi yamekuwa maigizo kila mtu anasema katekwa, Uchaguzi ulikuwa wa Huru na Haki

    Kuna Tuvyama Kama 14 hivi Sidhani nao wana wafuasi. Tu-chama twa Mifukoni. Tu-chama Rafiki na Mkoloni Mweusi.
  2. Ryaro ryaro

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Aluminum na accessories zake.

    Please waweza kunipigia mahesabu ya Aluminium kwa nyumba yangu. Then tutaongea tuone itakuwaje. piga bei ya emilite 1. 995 x 1725= 2. 1310 x 1730= 3. 775 x 1770= 4. 592 x 512= 5. 845 x 1725= 6. 1470 x 1710= 7. 940 x 1715= 8. 1465 x 1760= 9. 1470 x 1740= 10. 1460 x...
  3. Ryaro ryaro

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa single mothers: Single Mothers Special Thread

    Hii Mimwanamke kwanza inadharau sana hata hakuna sababu ya kuwaonea huruma..
  4. Ryaro ryaro

    JamiiForums Tanzania Nimeshindwa waelewa Wairan mpaka sasa. Nilianza furahia. Iran imerusha Mafataki Israel?

    Chuki zako za Kidini (mazayuni) unadhani zitakusaidia we bibi kizee. Sio wewe tu ulifuatilia wenye uelewa mpana tunajua what happed and who will the loser at the end of the day...
  5. Ryaro ryaro

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa taarifa yako Wanaume wa Kanda maalum ni zaidi ya wale wa Songea!

    Tafuta Pesa Broo hii mada yako Haina Uhalisia wala Haiwezekani Kuiprove in any case...
  6. Ryaro ryaro

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga SC 3-2 Azam FC | NBC Premier League | Benjamin Mkapa Stadium | 23.10.2023

    You must be Joking, Azam kwa Kikosi Kipi na Kwa marekebisho yapi wameyafanya toka Yanga icheze nae Tanga. Azam kwa Yanga ni kama mwembe wa uhani or kama kumsukuma mlevi wa K-Vat. Azam ni kiboko ya Simba kwa Yangu Hawafui dafu..
  7. Ryaro ryaro

    JamiiForums Tanzania Silaha na askari wamiminika mipakani mwa Israel. Biden ashtushwa. Aenda Israel mwenyewe huku akitaka Palestina wapewe nchi yao

    Ni aibu, Sudan kupereka majeshi kumsaidia Palestina, Si hawa hawa ndio bado wanachinjana na Janjaweed wao kwa wao. sasa uwezo wa kumsaidia mjahidine or mfia dini Mwenzao wameupata wapi. Tuwaache wafu wazikane.
  8. Ryaro ryaro

    JamiiForums Tanzania KWELI Mende anaweza kuishi kwa siku kadhaa akiwa amekatwa kichwa chake

    Entomologist wa Kichina
  9. Ryaro ryaro

    JamiiForums Tanzania Ushindi wa kishindo wa CCM Mbarali, ni fursa kwa upinzani kuwa mguu sawa

    Daaah!!! CCM Kwenye Chaguzi ni Mungu tu anaweza Jeuri Yao..
  10. Ryaro ryaro

    JamiiForums Tanzania Nape unapata wapi jeuri ya kuwapangia Watanzania cha kupenda?

    NYIE-means watanzania sisi wajinga tunaowaruhusu Kututawala wakati tunajua uwezo wenu ni mdogo...
  11. Ryaro ryaro

    JamiiForums Tanzania Kurudisha kadi za CCM ni jambo la heri

    Ndugu yangu kama unajidanganya ya kwamba CCM watakuja kukupatiia katiba mpya yenye tume huru ya uchaguzi, basi Sahau kama mimi na wewe tulivyolisahau TITI la Mamazetu. Majaliwa yetu, na ili Kujinasua toka makucha ya CCM lazima tulipe gharama. So ni Swala la kujiandaa Kimwili and more important...
  12. Ryaro ryaro

    JamiiForums Tanzania Ney wa Mitego asitelekezwe. Ndugu wapambanaji kulikoni?

    Wewe ambaye Hautumiki una faida gani tofauti na Kulamba Makalio ya Vichangudoa
  13. Ryaro ryaro

    JamiiForums Tanzania Waziri Silaa ashtukiza ofisi za ardhi Dodoma akuta amna watu

    Serikalini Hapana msamihati wa time management, muhimu ni kufika ofisini hata ukifika saa saba mchana( Irresponsible government)/Shamba la bibi ni mwendo wa Kujilia tu..
  14. Ryaro ryaro

    JamiiForums Tanzania Australia wakamata ngozi halisi za Simba na Chui zilizotengenezwa kama mazulia kutoka Tanzania. TAWA yasema inafanya uchunguzi

    Banana republiques.. a failed State due to poor leadership "United Arab Emirates" Waarabu Watatumaliza hadi akili Zitu-rudi tutakuwa tumebaki na Makaburi tu.
Back
Top Bottom