Wana JF habari za leo.
Naomba kusaidiwa kwa anaezielewa vizuri gari hizi. Watu wengi wanasema zina matatizo, lakini hawasemi ni matatizo gani hasa. Naomba kueleweshwa tafadhali.
Ubora wa kitu au kifaa, utautambua katika matumizi/kukitumia. kadri tunavyoendelea kuwa na serikali hii ya CCM ndo tunajua ubora na ubaya wake. kwa mambo yake mengi yanayoendelea, Sijui kama kuna M- CCM wa kawaida ambae hausiki katika maamuzi, anaweza kusema hii serikali ni bora!? kama yupo ...
Kwa yeyote anayejua wapi naweza kupata solar dryer hapa Tanzania. Tafadhali anielekeze. Nahitaji yenye ukubwa wa kadri inayoweza kukausha matunda au samaki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.