Recent content by rwehu

  1. R

    Magari ya bei rahisi (nafuu) - mtandao gani?

    Amani iwe kwenu, Eti kwa mwenye uzoefu, ni mtandao gani (website) unauza magari kwa bei nafuui? Msaada tafadhali
  2. R

    Mh. Mwakyembe TRL ITAKUSHINDA UKIENDEKEZA KUTAKA SIFA.

    Kajipange kwanza ndo ulete Mada, hujaeleweka
  3. R

    Mihogo mihogo mihogo!

    Nilisikia ati Bahresa ananunua mihogo kwa ajili ya kutengeneza biscut jaribu..
  4. R

    Nauza contacts za watu na majina yao

    Kwa hiyo wewe ni mwizi, unaiibia hiyo kampuni kinyume na utaratibu wao.
  5. R

    Mitsubish pajero io

    Thanks for the input mkuu.Big up
  6. R

    Mitsubish pajero io

    Wana JF habari za leo. Naomba kusaidiwa kwa anaezielewa vizuri gari hizi. Watu wengi wanasema zina matatizo, lakini hawasemi ni matatizo gani hasa. Naomba kueleweshwa tafadhali.
  7. R

    Huu ni wizi wa mchana wa Fire

    Ubora wa kitu au kifaa, utautambua katika matumizi/kukitumia. kadri tunavyoendelea kuwa na serikali hii ya CCM ndo tunajua ubora na ubaya wake. kwa mambo yake mengi yanayoendelea, Sijui kama kuna M- CCM wa kawaida ambae hausiki katika maamuzi, anaweza kusema hii serikali ni bora!? kama yupo ...
  8. R

    Should CHADEMA Fire Zitto?

    Tatizo katika mambo haya ni kupata ushahidi. kutofautisha ukweli na siasa za majitaka ni kazi ngumu kweli.Mtuhumiwa atasema anachafuliwa tu.
  9. R

    Natafuta solar dryer

    Kwa yeyote anayejua wapi naweza kupata solar dryer hapa Tanzania. Tafadhali anielekeze. Nahitaji yenye ukubwa wa kadri inayoweza kukausha matunda au samaki.
Back
Top Bottom