polisi mwema atakuwa sio mtanzania, hata wao msamiati wema haupo kwenye fikra zao, changamoto yoyote ambayo wangeweza kuitatua ili waonekane wema, huigeuza kuwa fursa kwa faida binafsi.
mi ni mahiri sana wa kuendesha pikipiki kwa kasi na kwa kuzingatia taratibu za barabarani, ila nilijua kuwa sijui kuendesha pale nilipoendeshwa na boda nikapitishwa katikati ya masemi kwenye msitari unaoigawa barabara ya uelekeo mmoja (double road), yaan kama wewe ulivyopotishwa, alikuwa...
kama ulitambua kuwa ni tangazo, basi ulielewa kilichokusudiwa. Kinyume na hapo unaweza kuliita igizo ili uifurahishe nafsi.
Vinginevyo andaa tangazo lako uwapelekee wahusika, kisha waeleze kuwa wewe una akili zaidi yao. ...nyambaphu
sio kila kitu ni kupinga tu, mantiki ya lile tangazo ni kuwa kila mmoja wetu anapaswa kutambua umuhimu wa afya kwanza kama kipaumbele hasa pale linapokuja suala la kuokoa maisha.
kwamba konda na dereva na hata abiria wengine iliwapasa kurudi kituo cha afya japokuwa wao walikuwa na wajibu wa...
ni kweli mama angeweza kuusaini kimya kimya lakini yeye binafsi hakubaliani nao, hivyo akaona isiwe shida kwake, fanya tu kuuweka mkataba wazi kwa umma ili kuepuka yeye mama kuhusika moja kwa moja kukubali jambo asiloafikiana nalo...
najaribu kuwaza kwa sauti labda kuna kundi maalum lenye...
mama zetu waliishia darasa lipi!? mbona wametukuza hadi tulipo...
wengi wa waliosoma, elimu inawapumbaza hatari! hamna kitu kabisa, tuulize sie tuliopitia maisha ya wake wasomi... bure kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.