Ndugu, maelezo uliyo yatia hapo juu ni kweli kabisa. Mimi huku naishi Sinza A opp na Mlimani City, nilikuwa natumia hiyo ya copper ambayo inaitwa Broadband tokea 2012 - 2013 baadaye nikaja tena kuitumia 2018 - 2019.
Hali ilikuwa vile vile inakuwa ON/OFF ilikuwa ina umiza sana unakuta unalipia...
Kwa wale wanaotegemea kufanya usaili wa kazi Leo katika Taasisi na Makampuni mbalimbali, Hakikisha haya maswali una uelewa nayo, haya ndiyo yanakupa asilimia nyingi za kupata kazi;
10 classic questions asked during oral interview;
1. Tell me about yourself?
Hapa sisi hatutaki kujua kuhusu...
Je, kuna yeyote humu ndani anajua mbadala wa kifurushi cha usiku cha internet kama kile cha Airtel cha Amsha Popo?
Maana leo nimejaribu kuunga lakin sikioni nimepiga simu HUDUMA KWA WATEJA wamesema wamekitoa, je mitandao mingine wanakifurushi cha USIKU cha internet cha GB 10 kama cha Airtel...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.