Wapendwa katika bwana ni matumaini yangu mu wazima wa afya na mambo yanaeda kama yalivyopangwa , Nina Idea nataka kuimplement na makampuni ya simu , je naanzia wapi ? just advice plz
Jamani wapendwa naomba munisaidie mwenye notes zozote nbaa module ya foundation anisaidie kwa gharama yoyote , mie npo moshi tafazali...just ni pm
asanteni sana
Kama mtu umeajiliwa na kupewa muda wa probation na kwa sasa ni miezi miwili imepita na mwajili wako hajasema lolote either kuongeza muda wa probation au vinginevyo.
Je ni hatua gani kisheria mwajiliwa anaweza chukua dhidi ya mwajili ?
Udini upo na nitatizo ...both christians and muslims top leaders wa mashirika na taasisi za umma ndiyo wana intertain....nimewahi fanya project na ifakara health institute bagamoyo .............nenda ukajionee mwenyewe au pitia tovuti yao then utabaini kuna tatizo la udini.....
Ila tukiangalia...
unajua kama haukuw mfuatiluaji wa bunge maalum la katiba hususan mapendekezo ya watanzania yaliyo ndan ya rasimu ya mzee walioba ( kama inavyojulikana) ni vigumu mno kupata majibu ya uwajibikaj au kuwajibishwa kwa hawa viongozi wa umma.
hebu tujaribu kuangalia pendekezo la kutaka MAWAZIRI...
Kuwapa nafasi watuhumiwa wa PAC wachangie katika mapendekezo ya BUNGE ni kama kuwapa nafasi ya kujitetea kitu ambacho tafsiri yake ni kutaka kuwahukumu kitu ambacho bunge haliwezi , nionacho mimi ni kwamba wale watuhumiwa walotajwa kwenye ripoti ya PAC wasingeruhusiwa kuingia kwenye huu mjadala...
adhab inatokan na mazingira , haya mambo ya kuparamia et haki za mtoto ni kuharib misingi ya makuzi ya mtot wa kiswahil ndiyo maana hat leo hii ukipand daldal utamkut mtot wa shule kakaa kwa kiti na mtu kama babu au bibi ake amesimama....mbona wao hawaigi tamaduni zetu ?
maandik yenyew...
Maskendo yote ya ufisadi serikalin yanaratibwa na graduates from udsm for more than 90%
hebu tubadilike jamani
EPA, Escrow Tegeta...
Ni mifano tu.
Na inazimwa na wanasheria graduates wa udsm.
Hivi hatufundishwi maadili?
nan kakudanganya ? akili za kupewa changany na za kwako...TPB ukiajiliw tu unaanza na 65000 kama basic ,unapew monthly transport ya 65 , na ww wa mikopo kuna allowanc na bonuses...unatak kazi ya aina gani kwa kuanzia ?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.