Kuna siku alikuja mwanza pale kisesa ngomeni alipopewa uchifu hangaya, alipoanza kuongea nikasikia pointless nyingi nikaamua kuondoka eti getini tukawazuiwa hakuma kotoka!siku hiyo niliamua kusikia sauti tu ila sio kusikiliza!
Ukweli ni kwamba namba za kadi za mpiga kura zinakusanywa sana kwa wafanyakazi wa halmashauli eg walimu. Ukiuliza za kazi gani unaambiwa we toa tu! Kumbe ndio kazi yake??
Kuna mtu alikuwa anakusanya namba za kadi zetu za wapiga kula nikamuuliza unazipeleka wapi? Akasema eti kila mwana ccm lazima atoe no ya kadi la sivyo hatambuliki.mpaka hapo nimeshatiki😂
No reforms no election inaonekana kufeli kwa wajinga ila ni movement nzuri sana kielekea kujitambua kwa watu wetu. Hata mbuyu ulianza kama mchicha! Viva Tundu lisu viva chadema
Nilianza hii biashara ya boda aisee ni hasara tupu, kwanza kuleta hela hadi mgombne na huyo unaempa, poli matengenezo hayaishi unajikuta unaempa yeye faida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.