Kwanza napenda kutumia fursa hii kuwapongeza kwa uimara mnaouonyesha katika kukisimamia chama katika changamoto nyingi zinazokikumba. Ninyi ni wavumilivu na wenye msimamo katika mapambano haya makali dhidi ya maadui wa chama chetu. Hongera mwenyekiti wangu F. Mbowe pamoja na katibu wako mkuu Dr...
Good kamanda. Huu ni mwendo wa Chadema ni msingi mpaka kieleweke. Leave those CCM to continue bribing our members thinking that they are making their party strong! They never know that if you can buy someone against another one, he or she can also be bought against you!
Kinachowaunganisha watu ni upendo,kuheshimiana na kuvumiliana. Utashi wa hali ya juu kwa mwanaume kuimudu nyumba yako ndio hoja ya msingi na siyo umri.
Mwalimu wangu Kitila Mkumbo hata kabla hujafukuzwa uanachama na chama changu CHADEMA,mimi nilikuwa mfuatiliaji mzuri wa makala zako katika gazeti la Raia Mwema. Hata baada ya kufukuzwa na chama, umeendelea kuandika lakini katika mtazamo tofauti. Eti unataka mbadala wa CCM na CHADEMA. Nakuunga...
Wanajamvi nimejaribu kuyapitia kwa umakini majina ya wajumbe wa bunge maalumu la katiba na kugundua kuwa wengi wa wajumbe ambao ninawafahamu ni wana CCM. Sisemi ni wana CCM kwa hisia bali ninawafahamu. Na hii ni kutoka katika taasisi zote wanazotoka wajumbe hao. Kwa mfano katika taasisi za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.