M4C Pamoja Daima ndani ya Musoma!

M4C Pamoja Daima ndani ya Musoma!

attachment.php


attachment.php
 
huu mwendo ni mpaka 2015 magogoni!
CCM wamepatwa na mshtuko kwenye hili kwani watu walitangaza kesho tunapandisha chopa na zikapanda kweli, hii ndo maana ya Chama sio mtu,haiwezekani mtu mmoja anajiona hawezi kufukuzwa uanachama eti anawatu wengi,,haiwezekani kabisa,narudia maneno yangu kama kumfukuza Zitto chama kinakufa bora kife kabisa lakini Zitto aondoke,,Nyumba ya ccm kwa sasa inaungua kwa kasi beki hazikabi zinalinda goli wakati wote....
 
saa ya ukombozi imeshafika watz tuamke!!!!! cdm ndilo tumaini letu pekee!!! Mungu ibariki sana cdm ikapate nguvu za kutumikia waja wako,AMEN!
 
ccm kwisha habari ! yaani imekufa kifo kibaya sana ! BWANA ALITOA NA BWANA AMETWAA , JINA LA BWANA LIHIMIDIWE !
 
CHADEMA CHADEMA CHADEMA CHADEMA CHADEMA CHADEMA acha tu!
 
Back
Top Bottom