Tangopori na team yake
Wewe siku hizi huonekani
Sijui ndo umefichwa?
Hahaaa wa kunificha si wewe dear..uliniahidi ikivuna mpunga na mahindi utakuja kunificha...
So nasubiri uje kwetu baba paroko
kwenye stori kama hii wewe na Mentor huwa hamkosi....
Ucjali nitakusubiri tu...najua unanitafutia maisha...so nitakuvumilia hata kwa miaka kumi...ukipata mavuno usinisahau sasa....Mentor nimemtupa kuleee ..ni wewe tu eiyer.
Hapo sasa ndipo ninapokupendea!!!!!!
Umeona hee coz u are da best hubby in da whole Universe....
Ha,ha,ha,ha,ha,haaaaaaaaaaa!!!!!!!!!
Wavimba macho wajinyonge tu!!!!!!!
kama ni dili linalohusu pesa nitafute tu Mentor
Yes Mentor...nimekumicje!
I miss you more...!
Nimekumisi kama Man utd walivomisi top four!!!