Recent content by Ruska

  1. R

    Je, ni sawa kuweka kitunguu maji, saumu kwenye upishi wa chapati?

    Hapana sikumaanisha hivyo ila nimesemea kiujumla Kwa mapishi yote
  2. R

    Je, ni sawa kuweka kitunguu maji, saumu kwenye upishi wa chapati?

    Pole mkuu ila fahamu kuwa kuna baadhi ya viungo vya kupikia na hicho unachokipika haviendani ndio maana matokeo yakawa hivyo
  3. R

    Elimu ambayo Padri hawezi kukupa

    Sidhani kama hayo maelezo yakoyanatetea na kuonyesha kuwa pombe imeruhusiwa katika biblia!
  4. R

    Elimu ambayo Padri hawezi kukupa

    Sasa hayo unayasema wewe na Kwa mtazamo wako
  5. R

    Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

    Nilichokuja kugundua na roho kuniuma ni kuwa kipindi chote hicho wakati anahema kumbe ng'ombe alikuwa na homa ndio inayompelekea kufanya hivyo
  6. R

    Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

    Jaribu kumpima joto la mwili likiwa kubwa inamaana huenda akawa na homa hivyo inasanabisha ng'ombe kuhema
  7. R

    Wanaume mliopo kwenye ndoa hua mnafanya nini kutatua changamoto ya kunyimwa unyumba?

    Ni mimba tu?!! Maradhi nayo anayakwepea wapi??! Kumlinda mwenzio ni sehemu ya upendo kwa kumuonesha mwenzio kuwa unamjali na kumthamini
  8. R

    Wanaume mliopo kwenye ndoa hua mnafanya nini kutatua changamoto ya kunyimwa unyumba?

    Ungeubeba wewe ndio hapo ungethibitisha hichi ulichoongea..ukajua mbichi na mbivu ni zipi
  9. R

    Wanaume mliopo kwenye ndoa hua mnafanya nini kutatua changamoto ya kunyimwa unyumba?

    Kama haya unayoeleza ni kweli mbona sababu ipo wazi??!!
  10. R

    No offence, ila tunaoishi na wanawake form four na la saba, tunakula maisha sana

    Wanawake wote ni sawa linapokuja suala la mapezi ya dhati...hakuna cha nshomile but no course Wala nini! Cha muhimu mpe "utulivu wa moyo" basi Kwa maana ya utulivu wa moyo
  11. R

    Wanaume mliopo kwenye ndoa hua mnafanya nini kutatua changamoto ya kunyimwa unyumba?

    Kwa suala lako hili tabia yako hiyo hiyo ya kuchepuka ndio inayokufanya mkeo akujime unyumba, acha kusingizia mimba wakati ukweli unaujua
  12. R

    JamiiForums Usiku wa manane

    3:59
Back
Top Bottom