Recent content by runna

  1. runna

    Kulikoni siku hizi kuoa mpaka kwanza binti apigwe mimba?

    Ku-confirm ni muhimu kamaa mimba inaweza tungwa. Kwenda kwa mwamposa baada ya ndoa kutafuta mtoto is hectic. Tunatabet kwenye mipira ila sio kubet kwenye kupata mtoto baada ya ndoa
  2. runna

    Kuna Range Rover Evoque kutoka China huku

    Bei Mkuu? Kama itakuwa bei ya IST tutanunua.
  3. runna

    Miaka 35 unaweza kuendelea kutafuta kazi?

    Mkuu endelea na mapambano, Keep you head ups. Hakuna aliyewahi au kuchelewa kwenye maisha.
  4. runna

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mkuu unataka sema Manchester walifanya haraka kumfukuza Mourinho na Moyes??
  5. runna

    Special Thread; Viatu Tu

    Butii nomaa...Pori kwa Porii
  6. runna

    Dangote aongoza kwa utajiri Afrika, Mo Dewji ashika nafasi ya 16

    Hii report iko na Ukakasii ina maana Mzee Bakhera hayupo kwa list. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom