Recent content by rungwe

  1. rungwe

    GE2015 Mgombea Urais CCM 2015: Ni Bernard Membe au January Makamba

    Umetoa ufafanuzi mzuri sana, ila umeharibu hapo kwenye para ya mwisho na hasa mstari wa mwisho kabisa ulipompa pande Lissu! Kwa maoni yangu nadhani Dr. Salim atatufaa sana uraisi kwa sasa ili kuvunja makundi yanayoiharibu CCM.
  2. rungwe

    Umilikishaji Silaha ki holela serikali inajichimbia kaburi...

    Jeshi la polisi la jiji la New York (NYPD) liko katika wakati mgumu sana wa kupambana na makundi ya wahalifu (organized crime) hususan waporaji wa mabenki, wafanya biashara ya madawa ya kulevya na wahuni wengine (thugs) ambao wanamiliki silaha nyingi za kivita. Baadhi ya silaha hizo kama...
  3. rungwe

    Umilikishaji Silaha ki holela serikali inajichimbia kaburi...

    Jeshi la polisi la jiji la New York (NYPD) liko katika wakati mgumu sana wa kupambana na makundi ya wahalifu (organized crime) hususan waporaji wa mabenki, wafanya biashara ya madawa ya kulevya na wahuni wengine (thugs) ambao wanamiliki silaha nyingi za kivita. Baadhi ya silaha hizo kama...
  4. rungwe

    Aliyemtisha Rais Kikwete....

    Katika kampeni za uchaguzi wa mwaka 2005 Rais Jakaya Kikwete alitoa ahadi kedekede za kuwavutia wananchi. Maisha bora kwa kila mtanzania, kukomesha rushwa na kuondoa kero zote zilizokuwa zikiwasumbua watanzania. Mheshimiwa Kikwete aliahidi kutekeleza hayo yote kwa ari mpya, nguvu mpya na kasi...
  5. rungwe

    Kuhatarisha usalama wa Taifa? Give me a Break!

    Katika nchi yetu (Tanzania) kuna idara kuu tatu zinazoshughulika na kazi ya upelelezi/ uchunguzi. Idara hizo ni idara ya upelelezi wea makosa ya jinai (CID) idara ya Intelijensia ya jeshi (M I) na idara ya usalama wa Taifa. Idara hizi zinajitegemea na kila moja ina majukumu tofauti. Hata...
  6. rungwe

    Kuhatarisha usalama wa Taifa? Give me a Break!

    Katika siku za karibuni Idara ya Usalama wa Taifa imekuwa ikitajwa tajwa sana katika vyombo vya habari. Kutajwa tajwa kwa idara hiyo pengine kunatokana na malalamiko ya wananchi hususani viongozi wa vyama vya siasa kwamba wamekuwa wakifuatwa fuatwa na kutishiwa na maafisa wa idara hiyo kiasi cha...
  7. rungwe

    Hasheem Thabeet: We've Got a Problem!

    The Memphis Grizzlies nicknamed him Hasheem “Thabust” just to express their sentiments due to poor contribution he brings on the table for his organization. The atmosphere is not compelling at all; it won’t be a surprise to learn of another assignment that would send Hasheem Thabeet to NBA’s...
  8. rungwe

    Uhusiano wa Freeman Mbowe na JK Nyerere

    teh teh teh! lakini wanafanana!
  9. rungwe

    DOWANS vs TANESCO - Why TANESCO Lost?

    Kiongozi hii mambo ni zawadi tukufu kwa watanzania...Asante sana!
Back
Top Bottom