niliwahi kusema, hao mafisadi atakaowaundia mahakama ni wa kuanzia lini? juzi, jana, leo au kesho? kwa hali kama hii, yeye ataipa ruhusa hiyo serikali yake imfungulie mashitaka? je salva atatoa ushahidi upande upi? huyu jamaa anafanana na kk yake yule wa upumabavu na ulofa na umbumbumbu...