CCM itaondolewa lakini...

CCM itaondolewa lakini...

BRN=Better Resign Now...Mngekuwa na uhakika wa kubakia madarakani, msingekuwa na hiyo mikakati yenu ya Ngurdoto, Zenj, Mtwara n.k.Subirini 25 Oct muone Peoples' Power inavyodhihirisha ubora wake
 
CCM itaondolewa madarakani lakini sio mwaka huu, wala sio na UKAWA kupitia Lowasa wala Sumaye.
Itaondelewa tu muda ukifika, wapinzani wa kweli wakijipanga upya, na kudhamiria kuiondoa CCM kweli kweli.
Wapinzani wa kweli wanaweza toka ndani ya CHADEMA, au CUF au chama kingine imara.
UKAWA kwa sasa wenyewe hawajui inaongozwa na nani... ndo maana ameachiwa mzee mamvi apigane kufa kupona, lakini safari ya Ikulu hiyo mhhh... kila la heri lakini.
Ni maoni yangu tu, uko huru kuwa kinyume na mtazamo huu, huna sababu ya kunitusi.


Lowasa ana nini kibaya mbona mtu akiwa ccm ndo ana uwezo Wa kuongoza??

In short ccm haitakiwi no matter what bora itoke watu wajipange huko huko mbele kwa mbele
 
October 25 sio mbali na kura ndio zitakazo ongea na hao unaowasifia sijui watapita wapi kwasababu kila njia wanayo taka kupita wanakuta tayari ukawa walisha ijua.
 
Nashangaa ndio kwa watu wanaosema kwamba wamejipanga kuchukua nchi lakini bado hawajawa kitu kimoja mpaka sasa

Kumbuka hatutafuti kiongozi au mwakilishi wa Vyama au chama kwenye majimbo!tunatafuta mbunge na mwakilishi wa wananchi woote bila kujali itikadi za vyama

Mmeshindwa kumaliza migogoro ndani ya Muungano wenu mapema namna hii kabla hata hamjapewa ridhaa ya kuongoza taifa hili,je mkipewa?!si kila mtu atataka kuwa waziri huko mbele?!


Hahahaaa! mbona huko kwa magamba munahaha kuwapoza watu wasiwakimbie!
 
CCM itaondolewa madarakani lakini sio mwaka huu, wala sio na UKAWA kupitia Lowasa wala Sumaye.
Itaondelewa tu muda ukifika, wapinzani wa kweli wakijipanga upya, na kudhamiria kuiondoa CCM kweli kweli.
Wapinzani wa kweli wanaweza toka ndani ya CHADEMA, au CUF au chama kingine imara.
UKAWA kwa sasa wenyewe hawajui inaongozwa na nani... ndo maana ameachiwa mzee mamvi apigane kufa kupona, lakini safari ya Ikulu hiyo mhhh... kila la heri lakini.
Ni maoni yangu tu, uko huru kuwa kinyume na mtazamo huu, huna sababu ya kunitusi.

CCM lazima ing'oke tu mwaka huu, hakuna jinsi
 
Oct 25 mkapge kula uli msihaibke kutoka madarakan manake lowassss ninamwelewa san kuliko magufr. Misuko sko iko mahar popote ht majumban tunapoishi.
Maskini! Unaelewe hata wewe mwenyewe ulichoandika hapa?
 
Wakati wa kuzaliwa ukifika haijalishi utungu umeanzia nyumbani au wapi.

Tanzania imeshashikwa na utungu wa kuiondoa ccm haijalishi wapinzani wamejipanga au la mwaka ccm inatoka tu. Hizo propaganda zingine warudishie waliokutuma
 
Back
Top Bottom