Huyu jamaa huwa haeleweki mara kule mwanzo ulisema chadema kuna udini na ukabila. Leo tena unageuka mara akiri kubwa haendani na akiri ndogo. Pasco wewe endelea na karata yako ya udini na ukabila kwa chadema acha porojo zingine.
Wazazi wa mwiguru waishukuru chadema. Maana jamaa kwa jinsi wanavyomfuatiria imebidi awajengee wazazi wake. Mbona hakujenga wakati yuko BOT. Siasa sio mchezo mzuri.
Leo ni uzinduzi wa rasimu ya katiba mpya. Uzinduzi huo unafanyika viwanja vya karimjee. Kuna vituo ya tv kama itv na tbc vinaonyesha live. Mgeni rasmi ni makamu wa rais na makamu wa kwanza wa rais toka znz. Karibuni tufuatirie. Baadhi ya viongoz wa vyama vya siasa wameonekana ila viongozi wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.