Mwigulu NchembaNdg wana jf. Mimi ni member humu naomba niweke wazi kuwa sijawahi kuugua hata malaria mpaka nilazwe ktk maisha yangu na sijawahi kulazwa popote ktk maisha yangu. Sijawahi kuugua kichaa wala malaria kupanda mithiri ya kichaa. Sijui mleta maada anamsemea mtu gani. Habari ya barabara haikwepo zamani sasa imetengenezwa mpka tax zinapita. Kijiji kiko kwenye mpango wa umeme ambao tayari umefika maluga. Kuhusu nyumba mleta maada hajui mimi nimeanza ubunge wazazi wangu wakiwa nyumba ya tembe. Ndio namalizia kuwajengea. Hivi hekima ni ipi ningeanza na nyumba yangu kweli wazazi wabaki kwenye nyumba ya udongo. Hizi ni siasa za maji taka
Nashukuru kwa taarifa mkuu maana umetufumbua macho na masikio sisi ambao tulikuwa hatujui habari hiyo,sasa kwa kutusaidia ingefaa utuwekee picha hapa japo tuone nyumbani kwa kichaa wa wakati huo kulivyo maana kusikia tu haitoshi.Aslam alykum wanajf,
*Tangu nimepangwa kufundisha shule moja iramba ktk kijiji alichozaliwa mbunge wa jimbo la iramba magharibi,kijiji cha makunda,nimeendelea kumlaumu mungu kwanini amenichagua kuwa mwalimu tena ktk wilaya hii ambayo hakuna maendeleo hata kidogo,
*ktk kijiji hiki cha mwigulu hakuna umeme,hakuna maji safi na salama,hakuna hata zahanati,kuna barabara mbovu,exactly hakuna cha maendeleo hapa nyumbani kwa mwigulu,
*Zaidi ya yote ikanibidi nifatilie maisha binafsi ya mbunge wa huku kiukweli ni hatari,;mwigulu hana nyumba hapa makunda ila akija anapumzikia kwenye nyumba ya kaka yake,nyumba ya kaka yake ndio ina solar kijiji kizima hivyo tunachaji simu zetu hapa kwa shs 1000,
>MWIGURU ALIWAHI KUPATA KICHAA;Mhe mwigulu alisoma mpaka darasa la tano na kisha kuachishwa shule kutokana na tatizo la akili lilokuwa linamkabili,Baada ya kuacha masomo alipotea kijijini hapo kwa miaka kadhaa na akakamatiwa ktk pori la misigiri,pori ambalo linahistoria ya kuwa kambi za majambazi wateka magari.
Aslam alykum wanajf,
*Tangu nimepangwa kufundisha shule moja iramba ktk kijiji alichozaliwa mbunge wa jimbo la iramba magharibi,kijiji cha makunda,nimeendelea kumlaumu mungu kwanini amenichagua kuwa mwalimu tena ktk wilaya hii ambayo hakuna maendeleo hata kidogo,
*ktk kijiji hiki cha mwigulu hakuna umeme,hakuna maji safi na salama,hakuna hata zahanati,kuna barabara mbovu,exactly hakuna cha maendeleo hapa nyumbani kwa mwigulu,
*Zaidi ya yote ikanibidi nifatilie maisha binafsi ya mbunge wa huku kiukweli ni hatari,;mwigulu hana nyumba hapa makunda ila akija anapumzikia kwenye nyumba ya kaka yake,nyumba ya kaka yake ndio ina solar kijiji kizima hivyo tunachaji simu zetu hapa kwa shs 1000,
>MWIGURU ALIWAHI KUPATA KICHAA;Mhe mwigulu alisoma mpaka darasa la tano na kisha kuachishwa shule kutokana na tatizo la akili lilokuwa linamkabili,Baada ya kuacha masomo alipotea kijijini hapo kwa miaka kadhaa na akakamatiwa ktk pori la misigiri,pori ambalo linahistoria ya kuwa kambi za majambazi wateka magari.
ndg wana jf. Mimi ni member humu naomba niweke wazi kuwa sijawahi kuugua hata malaria mpaka nilazwe ktk maisha yangu na sijawahi kulazwa popote ktk maisha yangu. Sijawahi kuugua kichaa wala malaria kupanda mithiri ya kichaa. Sijui mleta maada anamsemea mtu gani. Habari ya barabara haikwepo zamani sasa imetengenezwa mpka tax zinapita. Kijiji kiko kwenye mpango wa umeme ambao tayari umefika maluga. Kuhusu nyumba mleta maada hajui mimi nimeanza ubunge wazazi wangu wakiwa nyumba ya tembe. Ndio namalizia kuwajengea. Hivi hekima ni ipi ningeanza na nyumba yangu kweli wazazi wabaki kwenye nyumba ya udongo. Hizi ni siasa za maji taka
mungu amjaalie mzima mh. mwigulu nchemba ili aendelee kuwa mwiba kwa chadema na watu wenye chuki kama mleta mada
nashukuru kwa taarifa mkuu maana umetufumbua macho na masikio sisi ambao tulikuwa hatujui habari hiyo,sasa kwa kutusaidia ingefaa utuwekee picha hapa japo tuone nyumbani kwa kichaa wa wakati huo kulivyo maana kusikia tu haitoshi.
Angalizo,jaribu kutoonekana ukipiga hizo picha maana huwezi jua kesho yako ikoje baada ya kuwa umetupa habari hii.
Mungu atakulinda na yeye ndiye atakayefanikisha kila jambo juu yako hivyo usijali suala la kazi yako maana hukusomeshwa na wala hulipwi mshahara na Mwigulu hivyo huna haja ya kuogopa.Tuwekee picha tuone nyumbani kwa naibu katibu mkuu wa chama.soon nitaweka mambo hadharani cha muhimu nahitaji usalama wa kazi yangu.