Recent content by RUJEINER

  1. RUJEINER

    Mtoto wa miezi mitatu hakui

    Kilo tatu kamili Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
  2. RUJEINER

    Mtoto wa miezi mitatu hakui

    Kwa siku anakunya mara moja au mbili akizidisha sana tatu..ila kwa siku hizi anakunya mara moja tu asubuhi mpk kesho tena asubuhi Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
  3. RUJEINER

    Mtoto wa miezi mitatu hakui

    Ananyonya sana na wala hakatai maziwa..lakini tu haongezek..najitahid kumnyonyesha sana Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
  4. RUJEINER

    Mtoto wa miezi mitatu hakui

    Alizaliwa na kilo tatu kamili Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
  5. RUJEINER

    Mtoto wa miezi mitatu hakui

    Habari zenu.. natumain ni wazima wa afya na wale wagonjwa poleni Mungu atawaponya. Nina mtoto wa miezi mitatu huyu mtoto shida yake kwenye ukuaji yaan haongezeki kilo..alipata shida kidogo wakati alipozaliwa alikua hataki kunyonya ila baada ya wiki moja mbele alianza kunyonya..kwa sasa ana kilo...
  6. RUJEINER

    Tiba kwa mtoto mchanga

    Habari wanajf... Naomba kuuliza au kupata msaada kwa tatizo la mtoto mchanga wa siku 3 kutapika uchafu kama damu pia kukataa kunyonya inaweza kusababishwa na nini..na tiba yake inaweza kuwa ni nini.. Asanten
  7. RUJEINER

    Kwanini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi?

    Hawaolewi kwasababu idadi kubwa ya wanandoa kwasasa ni wachepukaji...hivyo wengi huogopa ndoa kwakuona lazma wachapiwe...[emoji4]
  8. RUJEINER

    Natafuta kazi, nimesomea bachelor of arts with education (geography&history)

    Nimesomea bachelor of arts with eduacation (geography&history)
  9. RUJEINER

    Natafuta kazi, nimesomea bachelor of arts with education (geography&history)

    Habari zenu..... Mimi ni mkazi wa Dodoma mjini....pia ni mhitimu wa chuo kikuu, nimesomea bachelor of arts with education (geography&history) Kama kichwa cha habari kinavyojieleza...natafuta kazi iwe formal au non-formal ili niweze kujikimu kimaisha. Naomba wenye connection au wenye biashara...
  10. RUJEINER

    There is no template for relationship

    Nimeelewa sana part ya mwisho apo "KUTESEKA AU KUISHI KWA TABU LEO HAIMAANISHI HUKO MBELENI NDIO MAMBO YATAKAA SAWA THEN UTAISHI KWA RAHA. Usipokuwa makini unaweza ishi kwa msoto hadi ile siku unaaga. Uvumilivu unamipaka, ila umakini ni nguzo" Thank you bro...
  11. RUJEINER

    Natafuta kazi..."graduate"

    Habari zenu... Mimi ni mhitimu wa chuo (2020) nilisoma BA.education katika chuo kikuu cha Dodoma..pia ni mkazi wa Dodoma Kama mnavyojua maisha baada ya chuo huwa ni magumu kidogo kwa wahitimu wengi hasa ukizingatia soko la ajira ni gumu kwa sasa. Ombi langu kwenu wanajamvi ni kwa yeyote...
  12. RUJEINER

    Kassim Majaliwa ni Rais ajaye wa Tanzania

    ilikuwa 14/09/2019 leo ni 20/09/2019. omba usije kuwa mhusikaa.
Back
Top Bottom