There is no template for relationship

There is no template for relationship

Au unaogopa pua yako kubwa?? Nakumbuka mama yako alivyomwambia baba yako according to your story kwamba aangalie mpua wake na wako hahaaaaa


Ila jamaa ana kipaji Sana Cha kuandika sijapata kuona
Japo story Yake sikuimaliza yote..mimi mvivu Sana kusoma story.
 
Nimeelewa sana part ya mwisho apo

"KUTESEKA AU KUISHI KWA TABU LEO HAIMAANISHI HUKO MBELENI NDIO MAMBO YATAKAA SAWA THEN UTAISHI KWA RAHA. Usipokuwa makini unaweza ishi kwa msoto hadi ile siku unaaga. Uvumilivu unamipaka, ila umakini ni nguzo"

Thank you bro...
 
Au unaogopa pua yako kubwa?? Nakumbuka mama yako alivyomwambia baba yako according to your story kwamba aangalie mpua wake na wako hahaaaaa
am not sure. Ila bado hajajitokeza tu mrembo wa kunipenda, vinginevyo ningeshaweka mtoto wa mtu ndani, niitwe mume.
 
Jamani sikuwa hata nimeona hii mention yako mpendwa. Nitarudi.....
una haki ya kujiita Mchanya........ napenda sana mtu anaewaza positive siku zote!


labda kwa kuongezea, watu wanaingia kwenye mahusiano na too much expectation bila kuweka juhudi zao ili kuyafanya mahusiano yao yawe bora!.....

lkn pia kuna tatizo la kutoridhika, mtu akiona ndoa flani imesimama anajua labda ni kwa sababu wana match or ni soulmate and whatever, wakati uhalisia ni watu wameridhika na hali zao, hivyo wamewekeza nguvu na juhudi katika kukabiliana na changamoto wanazokumbana nazo!......


lastly, hatuna mentors kwenye maeneo mengi ya kimaisha including relationships, na hili ni janga kubwa sana mpaka makanisani (kwetu sisi watu wa church)...... mtu anakua yupo yupo tu inafikia hatua anafanya maamuzi hana mtu wa kumwomba ushauri, very sad!.....


Heaven Sent atamalizia......
 
Nimeelewa sana part ya mwisho apo

"KUTESEKA AU KUISHI KWA TABU LEO HAIMAANISHI HUKO MBELENI NDIO MAMBO YATAKAA SAWA THEN UTAISHI KWA RAHA. Usipokuwa makini unaweza ishi kwa msoto hadi ile siku unaaga. Uvumilivu unamipaka, ila umakini ni nguzo"

Thank you bro...
Thank you too broh
 
Back
Top Bottom