una haki ya kujiita
Mchanya........ napenda sana mtu anaewaza positive siku zote!
labda kwa kuongezea, watu wanaingia kwenye mahusiano na too much expectation bila kuweka juhudi zao ili kuyafanya mahusiano yao yawe bora!.....
lkn pia kuna tatizo la kutoridhika, mtu akiona ndoa flani imesimama anajua labda ni kwa sababu wana match or ni soulmate and whatever, wakati uhalisia ni watu wameridhika na hali zao, hivyo wamewekeza nguvu na juhudi katika kukabiliana na changamoto wanazokumbana nazo!......
lastly, hatuna mentors kwenye maeneo mengi ya kimaisha including relationships, na hili ni janga kubwa sana mpaka makanisani (kwetu sisi watu wa church)...... mtu anakua yupo yupo tu inafikia hatua anafanya maamuzi hana mtu wa kumwomba ushauri, very sad!.....
Heaven Sent atamalizia......