Dalili ya hatari hiyo mpeleke hosiptaki haraka kwa ajili ya matibabu, inaweza kiwa NEC ( Necrotizing Enterocolitis) hivyo usifanye masihara nayoHabari wanajf...
Naomba kuuliza au kupata msaada kwa tatizo la mtoto mchanga wa siku 3 kutapika uchafu kama damu pia kukataa kunyonya inaweza kusababishwa na nini..na tiba yake inaweza kuwa ni nini..
Asanten