RUJEINER
Senior Member
- Jan 18, 2018
- 129
- 152
Habari zenu...
Mimi ni mhitimu wa chuo (2020) nilisoma BA.education katika chuo kikuu cha Dodoma..pia ni mkazi wa Dodoma
Kama mnavyojua maisha baada ya chuo huwa ni magumu kidogo kwa wahitimu wengi hasa ukizingatia soko la ajira ni gumu kwa sasa.
Ombi langu kwenu wanajamvi ni kwa yeyote mwenye uhitaji wa mfanya kazi au mwenye connection ya ajira naomba tusaidiane ndugu zangu maana mtaani hali si shwari.
Nipo tayari kufanya kazi yoyote ya halali ili niweze kumudu maisha. Jinsia yangu ni (Ke)
Natumai wenye uhitaji na connection watajitokeza humu kunisaidia.
Mimi ni mhitimu wa chuo (2020) nilisoma BA.education katika chuo kikuu cha Dodoma..pia ni mkazi wa Dodoma
Kama mnavyojua maisha baada ya chuo huwa ni magumu kidogo kwa wahitimu wengi hasa ukizingatia soko la ajira ni gumu kwa sasa.
Ombi langu kwenu wanajamvi ni kwa yeyote mwenye uhitaji wa mfanya kazi au mwenye connection ya ajira naomba tusaidiane ndugu zangu maana mtaani hali si shwari.
Nipo tayari kufanya kazi yoyote ya halali ili niweze kumudu maisha. Jinsia yangu ni (Ke)
Natumai wenye uhitaji na connection watajitokeza humu kunisaidia.