We bado una akili za mtoto wa miezi mitatu hv kuna kozi za kitoto hapa TZ na usijidanganye kwamba kozi ulizozitaja kwamba hakuna watu ambao hawana first class we jisemee ww cio watu wote yan wenye first wanakucheka kwa dharau. Acha ujinga kijana umesoma lakni hujaelimika
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.