Habar wanaJF,
Naomba msaada wa kunijuza jinsi ya kubadili username hapa JF kwasababu hii ninayotumia sasa inatatiza wengi endapo nikipost uzi..mimi ni msichana ila username ni ya kiume msaada kwa hilo wakuu ili niweze kubadilisha asanten
Umeongea kaka lakn mkuu cjaelewa kitu kimoja hapo hizo intrvw mlizoitwa mlituma maomb lin coz 1 december walitangaza nafac za kaz nilappy ko cjajua ka ni hizo walzowalizo tangaza mwanzo mwa mwe huu.nijuze bro
Mimi ni msichana nmemaliza diploma ya uhasibu june 2014 nmekuja hapa jamvini kwenye jukwaa la GREAT THINKER natumaini nitasaidika natafuta kazi za kihasibu,kuuza duka la jumla,kazi za mapokezi pia naziweza,napokea ushauri na msaada wowote NIPO MWANZA
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 22.
Ni mda mrefu sasa nimekuwa na matamanio ya kuwa na hips na makalio makubwa kiasi flani cha kumvutia mtu yoyote atakae niangalia, matamanio yangu hayajaishia hapo tena huwa natamani sana kuwa na miguu mizuri ya kuvutia hata nikivaa nguo ya kuishia...
Habar mkuu mjasiliamal14 mm ni yule bint ni naye tafuta kaz ya mhasib msaidiz nilkutumia post kwa kuijib post yako vp kuna njia nyingne ya kunisaidia..mm nipo mwanza asante:confused2:
Habar mkuu mjasiliamal14 mm ni yule bint ni naye tafuta kaz ya mhasib msaidiz nilkutumia post kwa kuijib post yako vp kuna njia nyingne ya kunisaidia..mm nipo mwanza asante
mkuu mimi ni mgeni kwenye jamvi hili la jf, hii ni post yangu ya kwanza bado sijaruhusiwa pm mpaka nifikishe post 5..naomba unijulishe kwa njia nyingine mkuu
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 22.Nimehitimu diploma ya uhasibu june 2014.Msaada kwa mwenye taarifa ya kazi za kihasibu kwenye taasisi yoyote hata kwenye maduka ya bidhaa za jumla...ASANTENI:smile-big:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.