NANI anataka tutukanane ili nitoe stress maana sio kwa hzi kazi za kwenda ofisini kwa mwendokasi alafu unasikia mtu ana viwanja 25,maghorofa 7,nyumba 25...
Alafu eti GSM wanatengeneza malori na viberiti eeeh?
na bado wanakata paye... uhusiano uliopo kati ya wafanyakaz na hii mifuko ni uhusiano wa kimkataba.. inakuaje sasa upande mmoja unafanya maamuzi ilhali upande mwengne upo... what happened to acting in a good faith..
kwa niliyoyaskia ni kwamba mtu sasa uki resign kazi huwez kupewa hela yako mpaka ufikie umri wa kuresign.. je kuna sheria mpya iliotolewa kuongelea hili.. msaada
kwa niliyoyaskia ni kwamba mtu sasa uki resign kazi huwez kupewa hela yako mpaka ufikie umri wa kuresign.. je kuna sheria mpya iliotolewa kuongelea hili.. msaada
Sehemu ya kuingilia airport ya JNIA kuna kamgahawa kamejengwa ambapo panapita lami je, ni sawa kusema eneo ilipojengwa hii ni eneo la wazi na kwamba mwengne anaweza jeng pembeni yake au ndio dalili za jipu.
Tunapoongelea swala la mipango miji je hatuoni kama kwenye mlango wa kuingilia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.