RAI YA MZEE ABOUD JUMBE NA UTAKATIFU WA NYERERE
Ukiachilia mbali kitabu chake cha THE PARTNERSHIP, (Miaka 30 ya dhoruba Muungano wa Tanganyika na Zanzibar) Mzee Aboud Jumbe Mwinyi, aliyewahi kuwa Rais wa Zanzibar, Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi na Makamu Wa Kwanza wa Rais wa Jamhuri ya...
Eduardo dos Santos: Rais Aliyeyafisidi Mapinduzi ya Angola
Ni nini Afrika kama bara inaweza kufanya kuiepusha na viongozi wa aina ya kina Dos Santos? Jibu linaweza kuwa gumu kuliko swali.
Mnamo Julai 8, 2022, Rais wa awamu ya pili wa taifa la Kusini mwa Afrika la Angola, José Eduardo dos...
Tunamkumbuka kama Shujaa wetu na mtu mwenye mapenzi ya kweli na kisarawe alikuwa mkurugenzi wa Bandarini ila Faida yake mpk Leo baadhi vizazi bado ipo sio yule bwana waziri anafaida yeyote zaidi ya kuongeza wake... Tunamsubiri kwa Hamu 2025...
Wenye akili timamu tumekuelewa japo wewe ni Mwana kijani ila kwenye ili umesema Ukweli Mtupu ndio maana msimamo wangu kuhusu Afrika ni kwamba Bwana Trump alikuwa sahihi juu yetu watu weusi...
Miaka 58 ya Muungano, nafasi ya Rais Samia kuzimaliza kero.
Viongozi waliomfuatia Sheikh Karume walikuwa na udhaifu wa kupigania marekebisho ya Muungano na kuondoa kero zilizokuweko na ambazo zikiongezwa kwa makusudi na upande wa pili.
Sababu inaweza kuwa ni kuyojiamini au kuhofia yaliomfika...
Happy Muungano day naomba nitumie fursa hii kuwa kumbusha ndugu Ndugu Zangu Wanzanzibar kwa kipindi chote cha miaka 58 ya Muungano imekuwa ngumu kwao ukweli ulio wazi ni km wamekuwa mateka ndani ya Muungano ila Wakati ni Huu wa kuweka mambo Sawa wote tunajua Fursa iliyopatikana naweza kusema...
Mnataka maji ya Uhakika halafu wakija kwenye Kampeni Waseme wataleta nini mkiwa chagua shida ya Tanzania na Afrika nzima kwa ujumla ni Je baada miaka 50 Uhuru kweli tulikuwa tayari kujitawala au Kuna Wajanja wachache tu Nia yao ilikuwa ni tusaidiane kumtoa Mkoloni weupe ili waje wao wakoloni...
Nina hakika Mkoloni mweusi ni hatari zaidi ya Mkoloni mweupe Ndugu yangu mifano hapa kwetu Lissu Liberia chini Charles Taylor Afrika ya kati Kuna mtu anaitwa Bokasa Aibu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.