Rubawa
JF-Expert Member
- Dec 25, 2015
- 2,055
- 3,239
Happy Muungano day naomba nitumie fursa hii kuwa kumbusha ndugu Ndugu Zangu Wanzanzibar kwa kipindi chote cha miaka 58 ya Muungano imekuwa ngumu kwao ukweli ulio wazi ni km wamekuwa mateka ndani ya Muungano ila Wakati ni Huu wa kuweka mambo Sawa wote tunajua Fursa iliyopatikana naweza kusema bahati ya mtende wote tunajua kama sio kifo Mh Magufuli kulikuwa hakuna Dalili siku yeyote Mzanzibar atakuja kuongoza Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Narudia tena kuwaomba na kuwa kumbusha ndugu zangu Wazanzibar Kero za Muungano wakati ndio huu wa kuweka mambo Sawa mkipoteza nafasi hii itabidi msubiri tena kwa miaka 58 mingine nami Kijana wa Leo Hamidu Bin Rubawa Cape Town South Africa...