Haisomwi bila sababu.
Ikiwa mtu amedhulumiwa na imeshindikana kupata haki yake.
Akiwa ni mzungu, mchina, mswahili au mfalme inampata ikiwa amefanya DHULUMA.
Na ikiwa mtu hausiki na dhulma hiyo basi Albadiri inakurudia mwenyewe au inampata mtu wa karibu yako hata mtoto wako.
Lakini majibu...
Huruma ya CCM ipo
1. Mwana chama wa ccm kutoa msaada wa ndege ndo ameiwakilisha ccm kwa ujumla.
2. Posho za milioni 43 kwa wabunge wote, pia ccm wamechangia.
3. Kujumuika pamoja kuanzia hospitali dodoma mpk uwanja wa ndege hata wabunge wa ccm walionyesha ushirikiano.
Zamani kijijini kuna mzee aliibiwa nazi kwenye shamba lake, kwa hasira akaenda kusoma albadiri basi aliezichuma, alieuza, aliezibeba na aliekula..wote walianza kupukutika mmoja mmoja
Wazee wakaingilia kati jambo kama hilo lisirudiwe tena.
Makonda ni jasiri na ana nguvu ya ziada..angekuwa mtu mwingine asingehimili mikiki mikiki na kuchafuliwa, pengine angejiuzulu au kupata presha na magonjwa ya moyo.
Usiwe mkali kupitiliza,
1. atauzoea ukali wako na atatafuta mianya kwenye mapungufu
2. Unaweza kukosa taarifa/ujumbe au kitu muhimu kutoka kwa mkeo sababu ya ukali wako.
Mwanaume usiwe mkali, kuwa na msimamo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.