Wanawake wanavyojiweka siku hizi, ndiyo husababisha wanaume wengi wajihisi hawana nguvu za kiume.

Mwanamke ana rangi kama UPINDE WA MVUA,njano,kijani,blue,nyeusi na mbaya zaidi rangi zipo ktk viungo tofauti....mapaja tofauti na uso..tofauti na mgongo...ukimuangalia sn hana tofauti na KINYONGA.hizo nguvu zitatoka wapi?
 
Wakuu,

Mavazi ya half naked kwa kina dada

Picha za uchi za kina dada..

Ndiyo chanzo kabisa cha kuwafanya wanaume washindwe kazi kitandani kwa kukosa mzukaa.

Maumbile ya mwanamke yanatakiwa yasitiriwe ili kwamba, pale mwanamume anapoyaona chumba yampe stimu maana atakua hajazoea kuyaona ona.

Lakini wadada wasiku hizi wanavyovaa, ni chanzo kikubwa cha wanaume kukosa hamu ya mapenzi. Maumbile ya wanawake yamekua yamezoeleka machoni pa mwanamume.

Imefika pahala mwanamume anaweza kuiona hata picture ya mwanamke aliye uchi na wala asisimamishe. Hii inatokana na kuzoea kuyaona maumbile hayo mara kwa mara.

Mtu anaweza kujihisi hana nguvu za kiume kumbe ni akili imeshayazoea maumbile ya mwanamke na kuyaona ya kawaida kwaiyo kutopandisha mzuka hata mkiwa chumbani.

Ktk kufanya tendo la ndoa kwa ufanisi, akili na saikolojia yako ni jambo la msingi sana.

Mwanamume Jitahidi kuepuka picha za utupu za kina dada pamoja na video za ngono maana zina mchango mkubwa sana ktk kukupunguzia hamu ya tendo la ndoa.
Uko sahihi sana,jambo hili limewadhuru sana wazungu,mpaka wamefikia kutengeneza madawa ya kuongeza nguvu za kiume ni kwasababu kwao hili ni tatizo kubwa.Na hii shida inazidi kuongezeka sasa huku kwetu,unakuta kijana mdogo miaha 25 hamna kitu,hii ni hatari..
 
Usilalamike mkuu. Ikishindikana kumridhisha, cha msingi wewe umeridhika.
You havent failed her; your body failed you. Kwa sababu sidhani kama kuna mtu hataki kuwa Guru maeneo hayo.
The only problem ni life style yetu. Ni mbovu na kwa bahati mbaya ni addictive. I think us 'modern' men, need to get more serious about how we live.
 
Wakuu,

Mavazi ya half naked kwa kina dada

Picha za uchi za kina dada..

Ndiyo chanzo kabisa cha kuwafanya wanaume washindwe kazi kitandani kwa kukosa mzukaa.

Maumbile ya mwanamke yanatakiwa yasitiriwe ili kwamba, pale mwanamume anapoyaona chumba yampe stimu maana atakua hajazoea kuyaona ona.

Lakini wadada wasiku hizi wanavyovaa, ni chanzo kikubwa cha wanaume kukosa hamu ya mapenzi. Maumbile ya wanawake yamekua yamezoeleka machoni pa mwanamume.

Imefika pahala mwanamume anaweza kuiona hata picture ya mwanamke aliye uchi na wala asisimamishe. Hii inatokana na kuzoea kuyaona maumbile hayo mara kwa mara.

Mtu anaweza kujihisi hana nguvu za kiume kumbe ni akili imeshayazoea maumbile ya mwanamke na kuyaona ya kawaida kwaiyo kutopandisha mzuka hata mkiwa chumbani.

Ktk kufanya tendo la ndoa kwa ufanisi, akili na saikolojia yako ni jambo la msingi sana.

Mwanamume Jitahidi kuepuka picha za utupu za kina dada pamoja na video za ngono maana zina mchango mkubwa sana ktk kukupunguzia hamu ya tendo la ndoa.
Naunga mkono hoja...kabisa hii ni sahihi niliwahi kusoma makala moja inayohusu sababu ambazo KE wanafanya kwa ME kupungukiwa nguvu mojawapo ilikuwa ni hii uliyosema...nyingine zilikuwa ni USAFI BINAFSI..KAULI MBOVU... MAANDALIZI n.k
 
Naunga mkono hoja...kabisa hii ni sahihi niliwahi kusoma makala moja inayohusu sababu ambazo KE wanafanya kwa ME kupungukiwa nguvu mojawapo ilikuwa ni hii uliyosema...nyingine zilikuwa ni USAFI BINAFSI..KAULI MBOVU... MAANDALIZI n.k
Wanaume waliooa wengi wanachepuka maana wake zao wachafu.

Yaani wakati unampiga sound dem, anakua msafiii hadi enzi za uchumba.

Akiolewa, anakuja kitandani kulala na mumewe mikono ina masinzi na ananuka moshi.

Kwa style hii, jogoo hawezi kuwika
 
Usilalamike mkuu. Ikishindikana kumridhisha, cha msingi wewe umeridhika.
You havent failed her; your body failed you. Kwa sababu sidhani kama kuna mtu hataki kuwa Guru maeneo hayo.
The only problem ni life style yetu. Ni mbovu na kwa bahati mbaya ni addictive. I think us 'modern' men, need to get more serious about how we live.
How should we live?
 
Back
Top Bottom