kweli pombe sio chai, yaani jana ijumaa wakati leo ijumaa na mda hu zi wako ninausoma una dakika 21, na kesho ndio jumamosi... aisee
inaonekana ndio unaamka mkuu
Za muda huu wadau?
Niende kwenye maelezo moja kwa moja, haya mabadiliko yametokea nahisi sasa ni kama mwaka hivi hali zamani hayakuwepo.
Kama wewe ni mtumiaji na mfatiliaji mzuri wa matumizi yako ya data naamini umeshaona mabadaliko haya. Na hii imetokea baada ya mabadiliko ya kiasi cha data...
kuna mwaka mmoja kipindi bado naishi gana hapa mwanza, kuna dada humu alipost kuwa anataka mme, bila hiana tukachekiana na kukubaliana kukutana pale kona ya bwiru kuna bar moja nimeisahau jina iko nyuma ya diamod bar and car wash. alifika mida ya saa moja jioni.
mimi nilienda na 50000...
Kwani umesikia mke ni drycleaned kuwa akufulie ngue au make no chief kuwa akupikie... Wanaume tubadilike mitazamo na kusoma alama za nyakati... Sio mbaya mwanamke kukufanyia utakacho ila vingine kama unaweza Fanya mwenyewe tena kwa upendo mkubwa
za usiku huu wakuu, leo tena natupa jiwe angani, naamini kuwa wahitaji kama mimi pia,
kama kuna mdada au mmama ambaye yuko free japo tuchat au kuongea usiku huu sio mbaya kwangu
namba yangu ni 0767066113
ila uzi huu ni valid hadi saa 11 asubuhi na ninaobwa moods wauset ujifute mda huo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.