Recent content by royal tourtz

  1. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pascal Mayalla: Oktoba 29 vyombo vya dola vilikuwa havina namna, risasi za moto zilitumika kutuliza zile vurugu

    Anataka kucheza picha zote yeye sijui ili iweje
  2. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Happy Birthday Mshana Jr 🎂✨

    Happy birthday Mshana Jr
  3. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Ila wanawake wa Dar ni kiboko

    mimi sasa hivi atakayekuwa ananipa vzr nitakuwa namlipia nauli, yaani unakuta mtu anakugusa unapata hisia hadi inasimama unajiweka katikati ya matako mtu yumo tu
  4. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Ila wanawake wa Dar ni kiboko

    mimi sasa hivi atakayekuwa ananipa vzr nitakuwa namlipia nauli, yaani unakuta mtu anakugusa unapata hisia hadi inasimama unajiweka katikati ya matako mtu yumo tu
  5. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Memorandum of Understanding” between Iran and the United States

    Hapo iran atakuwa amechemsha, yaani kufungia nuclea au amechemka mapigo
  6. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Ila wanawake wa Dar ni kiboko

    Hata hapa mwanza kuna huo mchezo sana
  7. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Nimekuwa mgeni ghafla maana sielewi hata jinsi ya kutumia JF kwasasa very sad

    Duh. Tumeanza kurudi, hata Zero IQ @kaisie nao watarudi
  8. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Singida Ilitakiwa Kuwa Mji Mtamu

    rafiki viogozi wapo tena wengi sana tatizo ni mfumo wa utekelezaji. Mfano fatilia mchoro ya miradi mikubwa ya serikali halafu fatilia tena baada ya mradi, ramani na ubora kama vinaendana.
  9. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Singida Ilitakiwa Kuwa Mji Mtamu

    Wapo wenye mawazo mazuri hata kuliko yako, na wameeshayaweka mezani tayari ila tatizo unapogundua nchi hii ina changamoto ya kuhujumu mawazo mazuri na ukiyasimamia unatolewa kwenye hiyo nafasi haraka sana. We pata picha. Kwani nchi hii hakuna watu wanaochukia kupokea rushwa maofisini. Mimi...
  10. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Kukata Mawasiliano na Familia: Miaka Haina Habari

    Mimi mdogo wangu aliondoka siku lowasa anajiudhuru uwaziri mkuu. Juzi hata hajamaliza wiki ndio amemtafuta baba. Alichofanya alikariri namba ya baba kichwani hadi leo,. Ukweli tumesikia mengi.mara kawa jambazi amepigwa risasi kafa na mengine mengi
  11. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Miaka 20 ya JF: Tuanzishe MaJukwaa Mapya 10 Yenye Impact Kutatua Changamoto za Wana JF na Jamii?. Wana JF Wenye Uwezo Tuwasaidie Wenzetu Nao WaWin au?

    Wazo zuri sana, kumbe kuna watu humu wanapata konektioshen hadi marekani kwa maandiko yao tu..
  12. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Iran kaanza kutepeta mbele ya Marekani!!

    Hiyo haitawezekana, ukweli ni kwamba marekani ndio anashinikizwa zaidi kuliko irani, hayo mengine ni propoganda
  13. royal tourtz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nilitembelea Buguruni Kimboka weekend. Hali inatisha

    tatizo bei zao
  14. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kwa nini oil rich gulf islamic states huwa hazichangii bajeti kama msaada?

    Ukihisa unapulizwa na panya usingizini jua ameshakung'ata, iko hivi. Hawachangii kitu ambacho hawajakunyonya. Nchi yoyote inayokuchangia bajeti kwa neno tunakusaidia jua tayari kuna mikataba mingi nyuma ya pazia wanakunyonya na wanachorudisha ni sehemu ndogo sana ya walichochukua.
  15. royal tourtz

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    Igawa wengi wamekuponda ila mimi nasema uko sawa tena sana. Msiba sio mwisho wa maisha watu hadi wanafiwa wazazi au hata watoto ila kuna mda hawawaziki maisha yanaendelea
Back
Top Bottom