Recent content by royal tourtz

  1. royal tourtz

    Kuna pombe nyingine ukishika mkononi mbele ya watu zinaeleza ulivyo

    kweli pombe sio chai, yaani jana ijumaa wakati leo ijumaa na mda hu zi wako ninausoma una dakika 21, na kesho ndio jumamosi... aisee inaonekana ndio unaamka mkuu
  2. royal tourtz

    TCRA fuatilieni makato ya intaneti kwenye mitandao ya simu

    Za muda huu wadau? Niende kwenye maelezo moja kwa moja, haya mabadiliko yametokea nahisi sasa ni kama mwaka hivi hali zamani hayakuwepo. Kama wewe ni mtumiaji na mfatiliaji mzuri wa matumizi yako ya data naamini umeshaona mabadaliko haya. Na hii imetokea baada ya mabadiliko ya kiasi cha data...
  3. royal tourtz

    Ulishawahi kukimbiwa na kuachiwa bili mezani? Ilikuaje?

    kuna mwaka mmoja kipindi bado naishi gana hapa mwanza, kuna dada humu alipost kuwa anataka mme, bila hiana tukachekiana na kukubaliana kukutana pale kona ya bwiru kuna bar moja nimeisahau jina iko nyuma ya diamod bar and car wash. alifika mida ya saa moja jioni. mimi nilienda na 50000...
  4. royal tourtz

    Kwanini wasanii wa kiislam huwa hawaweki masheikh kwenye maudhui yao?

    Halafu anayemhukumu mchungaji ni shekh aisee inatafakalisha sana
  5. royal tourtz

    Nina miaka 29, natafuta Mume

    Umeshapata?
  6. royal tourtz

    Mke wangu ananidharau nifanyeje?

    Kwani umesikia mke ni drycleaned kuwa akufulie ngue au make no chief kuwa akupikie... Wanaume tubadilike mitazamo na kusoma alama za nyakati... Sio mbaya mwanamke kukufanyia utakacho ila vingine kama unaweza Fanya mwenyewe tena kwa upendo mkubwa
  7. royal tourtz

    Urafiki kati ya mwanaume na mwanamke yaani kaka na dada unawezekana?

    Ndio inawezekana sana tu, Mimi kuna wadada wengi tu tunaheshimiana sana na huwa tunaogea mengi sana tufauti sana na tugekuwa wapenzi
  8. royal tourtz

    mdada au mmama wa kuchat au kuongea naye usiku huu kwenye simu

    haya bhana ila bado sijapata wa kuchat naye au kuongea naye, kama yupo tafadhari tuwasilinane
  9. royal tourtz

    mdada au mmama wa kuchat au kuongea naye usiku huu kwenye simu

    za usiku huu wakuu, leo tena natupa jiwe angani, naamini kuwa wahitaji kama mimi pia, kama kuna mdada au mmama ambaye yuko free japo tuchat au kuongea usiku huu sio mbaya kwangu namba yangu ni 0767066113 ila uzi huu ni valid hadi saa 11 asubuhi na ninaobwa moods wauset ujifute mda huo
  10. royal tourtz

    Nimeamini Mtalaka hatongozwi

    umechukulia kwa kupaniki sana ila wewe unaheshima yako humu na legend
Back
Top Bottom