Recent content by royal tourtz

  1. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Ingawa amefanya na usivyotaka ila inaonekana anapenda mafanikio yako. Kuliko kukuwekea dawa za kichawi za roho mbaya ni bora alivyofanya kwa upendo
  2. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Karata yangu kwa SPAIN, kama unataka kubeti, mpe Spain utakuja kunishukuru

    Tuko wengi kumbe
  3. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Tumetembelea shule ya Ivumwe high school kuzindua mradi wetu mpya

    Duh mradi unaitwa swahili ila maneno english
  4. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Ukikosa msimamo utaona kama watu wanakupenda kumbe wanakutumikisha kwa sababu hujui kusema ' hapana "😔

    Na ukiomesha kukataa kutumikishwa nao wanakuchukia na wengine wanaacha kukusalimia. Mimi yamenikuta
  5. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania JD Vance amewafokea moja kwa moja mawaziri wa Israeli kwa mashambulizi yao binafsi dhidi ya Rais Trump

    Tusubiri truthsocial ya trump itasemaje
  6. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Israel Yaendelea Kumwaga Moto Lebanon, Iran wamefunga Rasmi Midomo

    Nje ya makubaliano yao ya iran na marekani ni kwamba kama israel ataendelea na mashambulizi anayewajibishwa ni marekani na israel
  7. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Utawala uliopita wa Iran uliofutwa na jeshi la Marekani na Israel usingeruhusu makubaliano haya, Utawala mpya umeanza kulegeza msimamo ?

    Kwani aliyekuwa anaendesha makubaliano ni nani kama sio khamnenei ila mtoto kama na ufumbuzi wa matatizo yote ambayo baba yake hakufikia
  8. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Je, nimchukie mama au binamu yangu? Nitaanzaje kumuita binamu baba?

    Pumbavu, fara sana wewe kwa hiyo unataka kujifanya story yako ndio kila kitu kwa member zaid ya milion 2. Kama unaleta leta na kama hautaki acha. Ila pole maana baba ya amegogewa na mtoto wa dada yake nawe mama yako amegogwa na kijana wake. Mods watu wanaboa sana msinipige bani nina miaka 15...
  9. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Ni Tanzania tu ambapo utamkuta msomi anaamini kuwa siku moja CHADEMA itakuja shinda Urais nchini nadhani ni matokeo ya mtaàla wa elimu wa zamani

    Wako sawa maana chadema niya tanzania na sio nchi nyingine. Hivyo wasomi wa tanzania kuamini hivyo wako sawa
  10. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Padri Dr Shukrani Mbirigenda: Nadharia ya elimu ya Plato na elimu yetu ya Tanzania

    Ngoja tuone watakaosoma yote na kuchagia ndio tujue kama bado tuna ma gt humu
  11. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Ndege-Vita ya kimkakati ya Marekani B-52 Stratofortress yadondoka huko Marekani!!

    Leo ni mwendo wa ndege kuanguka tu
  12. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Heche: Sikusoma Shule ya CCM, ilikuwa ya Bodi ya Pamba; wameipora na kuifanya yao, tukishinda tutarudisha mali zote Serikalini

    Shule yenyewe inajina linalojieleza yaani bulima ila c.c.m basi tu
  13. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Pole kwa mayatima wote duniani wanaopitia maisha magumu baada ya wazazi wao kutoweka duniani

    Pole sana aisee kama vile siwezi beba viatu vyako
  14. royal tourtz

    JamiiForums Tanzania Compare & Contrast Marais 6 wa Tanzania on Democracy, Jakaya is The Best!, Apewe Maua Yake!, Samia Pia Ana Fursa To Be The Best!, Je Atakuwa?

    Kaka Pascal Mayalla kuna mda huwa unapenda kujizima data. Ila kwa mwenye akili kubwa amekuelewa ujumbe wako na jiwe li gizani limefika vizuri sana
Back
Top Bottom