jamani jambo hili bado linanilaza macho kwa uchungu nilionao kuhusu vitendo vya kinyama walivyosimulia watoto waliopatwa na mkasa huu. Ningependa kujua kama wahusika wamekamatwa na kama wale watoto wengine waliobakia huko kwenye hilo handaki wamepatikana. Hivi TIS ipo au Nyerere alipokufa nayo...
Hii mamlaka imenunuliwa na wenye pesa imesahau jukumu lake inaweweseka kwa ajili ya pesa za watu. Kuna watu wanaona biashara zao hazitoki basi wamenunua TFDA wameiweka mfukoni wanadictate terms. Hii nchi imekaa kifisadi zaidi kila mwenye uwezo wa kupaza sauti na kusikika anatafuta jinsi ya...
Saa ya ukombozi imekaribia, dalili zote zinaonyesha. Kama wanakamata hao viongozi kwa tangazo la mkutano inabidi wahakikishe TV zinaacha kuonyesha tangazo hilo kwani lipo ITV na nadhani wengi tumelisikia na kuliona. Changes are inevitable policcm wanatakiwa kulijua hilo.:heh:
Duh hivi mama Bisimba umeisikia hii habari. Haki za binadamu zimevurugwa tafadhali muokoe mtoto na ukatili huu. Huyo muoaji achukuliwe hatua kwa kumbaka motto.:help:
Nina mashaka na wewe ndugu yangu stesheni, inaonekana wewe ni mmoja wa wanaonufaika na wizi wa fedha zinazotolewa na hazina kama mikopo ya watumishi wa umma chini ya wizara ya ulinzi na kujenga Taifa. Hata ikiwa ni hivyo, ukweli unabaki palepale kuwa huo ni uovu. Hata jinsi unavyotetea uovu huu...
Kuna mchezo mchafu unachezwa na kijana mmoja anayeshughulikia mikopo toka hazina kwa watumishi wa umma chini ya wizara yako mheshimiwa katibu mkuu, kisha watumishi hao wanazungushwa sana kupata mikopo hiyo ikiwa ni pamoja na kuombwa rushwa. Huyu Gwamaka amekuwa kama mtu anayetoa mkopo hiyo toka...
Kama hujui kufa angalia makaburi. Kama Chigonjwa/Chagonja hajui hali inakuweje baada ya kustaafu awaangalie wale wa iliyokuwa East Africa wanavyoteseka au aulize polisi waliostaafu ccm inawasaidiaje sasa hivi. Utu ni bora kuliko hayo magwanda anayojidai nayo sasa hivi kwani yana mwisho.
Kosa alilofanya pinda ni kutamka hadharani makubaliano ya sirini. Tangu wananchi waanze kupigwa na kuuawa na polisi lini uliwahi kusikia serikali imejitoikeza kukemea? Daudi Mwangosi aliuawa mbele ya kadamnasi mlisikia kauli yoyote ya serikali kuchukizwa na jambo hilo? ndiyo kwanza kamuhanda...
Mimi binafsi sipendi hata kusikia jina hilo hasa baada ya mauaji na mateso rukuki kwa waTZ na pia nafahamu kuwa CCM ni maficho ya watu wengi. Kuna wengi hasa wafanyabiashara wako ccm kwa ajili ya ulinzi na usalama wa biashara zao ambazo wengi wanakwepa kodi kwa kivuli cha ccm. Ukipita sehemu...
Hawana shida na Nape kwa sababu anachosema hakimtishi mtu yeyote hata mtoto wa chekechea anajua huu ni uzushi , ila kinachosemwa na Mbowe kina madhara makubwa kwa mafisadi na policcm ambao wanajua hivi karibuni kutapambazuka na uhuru wa kweli utapatikana na wao hawatakuwa na mahali pa kuficha...
Hao policcm wanahaha wakidhani labda ule ushahidi wa video uko ndani ya simu zao, si unajua policcm shule hakuna na akili pia finyu. Hakuna cha ajabu hapo maana wataaachiwa huru tu hiyo ni mizengwe ya kuwafurahisha mabwana wakubwa waliowatuma. Hizo ni fix za policcm tu. Mbona nape hawajamkamta...
Kama cv yake ndo hiyo, basi nimsamehe bure maana hana chakuchangia. Anataka aonekane yupo kwa kutumia ujinga kwani shule hakuna yupo hapo kwa bahati mbaya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.