Recent content by Rosati

  1. Rosati

    Mambo yanayochangia ubaki kwenye hatua moja ya maisha

    Very true. Extended family ni jambo la kuangalia kwa jicho la tatu. Pia kuishi karibu na nyumbani au ulipozaliwa ni risk kubwa katika safari ya mafanikio.
  2. Rosati

    Uchache wa Waombaji Kazi kwa Post za Assistant lecturers

    Uligive up mapema [emoji16][emoji16] Sent from my SM-A3050 using JamiiForums mobile app
  3. Rosati

    Uchache wa Waombaji Kazi kwa Post za Assistant lecturers

    Ipo ila kwa uchache sana, tena ikute ni NGOs ambazo hazina matatizo ya kiuchumi Sent from my SM-A3050 using JamiiForums mobile app
  4. Rosati

    Uchache wa Waombaji Kazi kwa Post za Assistant lecturers

    Mfano Mzumbe walitoa internship kwa vijana zaidi ya 50 kwenye kampus zao zote lakini ilipofika swala la kuajiri, wale intern wote waliondolewa na wakaajiriwa TA wapya. Swali ni je, Mzumbe hawakuona ufanisi wa wale maTA waliokua nao kwa zaidi ya miezi 12? Hili nalo pia ni changamoto Sent from...
  5. Rosati

    SALOON, HAIRDRESSING

    Hello wadau, natafta kijana anayejua kufanya hairdressing ikiwemo natural hair treatments pamoja na kusuka dreadlocks. Saloon ni mpya ya kisasa, ipo Tegeta Salasala. Kwa mawasiliano WhatsApp 0757925487. Sent from my SM-A3050 using JamiiForums mobile app
  6. Rosati

    Nimedhamiria Huu mwaka najenga

    Nimependa sana hii. Barikiwa mkuu
  7. Rosati

    Recruitment portal

    Inawezekana kabisa. Jitahidi kuongeza umakini na pia punguza size ya image
  8. Rosati

    Project Proposal(mpango kazi wa mradi)

    Habari za leo ndugu zangu. Nina project proposal kichwani. Nimeshaidhibitisha uhalali wake na mafanikio ya hio proposal. Nimesha kadiria malighafi na gharama za kuifanikisha. Tatizo linakuja kwenye kuihamishia kwenye makaratasi ili kuweza kuwasilisha kwa mfadhili. Mtu yeyote mwenye ujuzi...
  9. Rosati

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mkuu ukilinganisha Vituo vya daladala, Nairobi wanatumia namba kutambua routes zao. Mfano route 134. DSM hata sijui tunatumia nini ila zaidi rangi ambazo pia zipo Nrb na barabara mfano Pugu road. All in all we are almost the same. Daladala za Nairobi nyingi ziko pimped na mziki mnene. Kuna...
  10. Rosati

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    True to your comments. Jiji linakuzwa na uwekezaji. Local residents kulikuza jiji ni ngumu kidogo.
  11. Rosati

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Nimeishi Nairobi zaidi ya 10 years. Ni kweli Nairobi wametuzidi kimiundo mbinu ya barabara. Network ya barabara ya mjini iko very beautiful and smart. Dsm, well tunakomaa. Hatuko vibaya. Kuna sekta tupo vizuri sana. Reli ya SGR ikimalizika nadhani tutaweza kuvimba kidogo. Network ya UDART nayo...
  12. Rosati

    Ili kuanzisha "day care and pre school" nahitaji vigezo gani?

    Hii nimeipenda sana. Ahsante sana mdau
Back
Top Bottom