Na tukikwambia umwoe mhaya utatusikiliza? Oa mke wako km unataka aman ktk maisha yako, sio unaoa mke wa familia au wa wana JF. Mwanao unatakiwa kuwa na msimamo wako ktk maisa.
labda tumaini la wajinga yaani huoni wala husikii hata ukisikia mama yako wamem nanini hii utabisha tu ,achene ugaidi yaani Marekani nguvu mlizonazo na vifaru leteni mtuondolee magaidi hawa yaani mnamuona Osama tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.