Recent content by ROSARITA

  1. R

    Hivi wadada mnaweza kuvumilia kwa muda gani

    Mwaka na miez mitatu imekata na sina mpango wa kumsaliti. Ni kujishusha hadhi tu mke wa mtu kumvulia mtu nguo akugegede, phewww!
  2. R

    Kwanini mabinti wa kitanga wanagombaniwa?

    Hakuna jinsi ambayo naweza kulike zaid ya mara moja jaman! Anayegoma ajitokeze hapa!
  3. R

    Kwanini wanawake hawapendi kutumia Kondomu!

    unaibiwa mcha kweupe wewe!
  4. R

    Mchumba mchaga ,msomi jamani naomba ushauri

    Na tukikwambia umwoe mhaya utatusikiliza? Oa mke wako km unataka aman ktk maisha yako, sio unaoa mke wa familia au wa wana JF. Mwanao unatakiwa kuwa na msimamo wako ktk maisa.
  5. R

    Mpango mzima wa kuihusisha CHADEMA na ugaidi mpya huu hapa

    labda tumaini la wajinga yaani huoni wala husikii hata ukisikia mama yako wamem nanini hii utabisha tu ,achene ugaidi yaani Marekani nguvu mlizonazo na vifaru leteni mtuondolee magaidi hawa yaani mnamuona Osama tu
  6. R

    Salama Jabir anatamani kuolewa na AY

    So makalio ndo yanayoolewa? Mbona mtawadanganya wenzenu wakanunue magonjwa kwa wachina?!!!!!!!!!!!!!
  7. R

    Jackie cliff amuachia wosia wake martin kadinda

    Ndo mwenyewe boss, au kwenye video ya Diamond Nataka Kulewa
  8. R

    Florah Lymo: How to look sexy at home

    Km hii ndo kulook sex at home better not be!
  9. R

    Mjadala: Je, ni siku zipi ambazo mwanamke huweza kupata ujauzito katika mzunguko wake wa kila mwezi?

    Kimetah, Hiyo sikuya 12 kwa mtu mwenye mzunguko wa siku 28 ni rahis piakupata ujauzito, umakini wahali ya juu wahitajikotherwise mimba nje je.
  10. R

    Buguruni ni zaidi ya Uwanja wa Fisi

    So kila mwenye ugum wa maisha akauze uchi? Km mjin hakuna mashamba nawashauri waende kijijini wakalime.
  11. R

    Ubungo kwafunga

    Labda km public transport hazitumii barabara ndo tutawaelewa!
  12. R

    Ubungo kwafunga

    Duh, just curious, hizo public transport zimekuwa fastjet barabara mkuu?
Back
Top Bottom